sasa wewe inakuuma nini. Shida yao ni kwenda kuwaona au kuwatekelezea na kutatua matatizo yao. Hebu pitia sheria za tanzania hususan za hawa wabunge sio lazima wakae kwenye jimbo lao mwenye ulazima wa kukaa kwenye ward yake ni diwani.
Acha uzuzu wewe
Mheshimiwa.
Nafikiri kama kweli unapenda kusimama kwenye ukweli basi refer hotuba ya Kwanza kabisa ya Mh Kikwete aliyoitoa BUNGENi alibainisha wazi kuwa Uchaguzi mkuu wa 2010 ulitawaliwa na UDINI tena wa hali ya juu sana.
Sasa hili hamlioni au alart kama hii mnaifanyia nini kazi Chadema...
Hata kiongozi wa nchi Mh Kikwete alinzisha hoja ya udini wakati wa hotuba ya uzinduzi wa Bunge mwezi dec 2010. Alikitahadharisha taifa kwamba uchaguzi wa 2010 ulikuwa na udini na udini unaweza kuvunja amani ya nchi yetu.
Hayo ni maneno ya kiongozi wa nchi ndani ya mjengo. sasa nyie...
Hata kiongozi wa nchi Mh Kikwete alinzisha hoja ya udini wakati wa hotuba ya uzinduzi wa Bunge mwezi dec 2010. Alikitahadharisha taifa kwamba uchaguzi wa 2010 ulikuwa na udini na udini unaweza kuvunja amani ya nchi yetu.
Hayo ni maneno ya kiongozi wa nchi ndani ya mjengo. sasa nyie...
Asiyejuwa maana usimfunze maana. kaa kimya kama hujui ulinenalo na sababu gani mpaka leo nchi nyingi za Afrika pamoja na AU hazijatoa tamko.
Yoote ni sababu za unafiki sasa waislam na Uganda sio wanafiki ndio maana wametoa tamko mapemaaaa na kulaani USA
ndugu yangu weeee mbona mikwara mingi sana na kujinasibu kwa sana kuwa wewe muislam.
nani aliyejinasibu au kukueleza kuwa mimi mwislam au kwa sababu za hoja zangu. Hakika mimi ni msema kweli bila kuogopa na nina uwezo mkubwa sana wa kuonesha na mara nyingi nimebainisha kuonyesha umma kuwa...
Kubali au kataa hao ndio viongozi halali kabisa wa Tanzania waliochaguliwa kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi.
hata ukiwapuuza ni viongozi tu . kalaga baho nyie Chadema
kama kweli wewe ni great thinker unatakiwa uelewe kuwa kila mtu anaweza fungiwa pale anaposhindwa kutetea na kuleta evidence za kutetea maneno yake.
Siku zote watu makini wanashindana kwa hoja na sio matusi. Ninapotoa hoja basi nasimama na kuitetea kwa points na sio matusi na na kusimama na...
ndio maana mnaitwa WADANGANYIKA sababu kila wakati mpo kuuficha ukweli kwa jili ya maslahi madogo tu ya kidunia.
Hata viongozi wako wakuu wa nchi walilibainisha hili la Udini nao unawakana.
Usijifanye kiziwi kuwa muwazi
Acha kujifanya chongo wakati jambo lipo dhahir.
Kuwa mkweli mbele ya Mungu wako, Je uchaguzi 2010 aujatawaliwa na udini, Je unajifanya ujui kabisa kuwa kampeni zilipigwa kwenye makanisa na misikitini., Je ujuwi kuwa UDINI ni sera na makovu yenu wabara mlioachiwa na wakoloni.
Tuwe wawazi bana...
Soma vizuri sana mada yangu kabla kukurupuka kujibu.
Hiyo ni political game kw chadema wanataka kuwachezea na kuwa win waislamu. ndipo nikasema kwa waislam kumchukua huyu ni kama galasa na sio tulufu. Mwenda mdundo na hawadanganyiki mpaka mbadili mtazamo wenu na kuwa wa kitaifa sio ukanda...
Unaweza kulitumia bila wasi wasi wote na ukakata nalo mitaa yote bila bughuza zozote ili mradi tu ufate sheria.
Kwanza lisajili hilo gari huko Zanzibar ili lipate namba mpya zinazoanzia na Z xxx YY. kisha litapata police clearance na kulileta Bara na kulilipia kama gari inayotoka Kenya, Uganda...
Mpendwa Invisible,
usitake kuwadanganya na kuongopea jamii wakati jambo lipo dhahir kabisa,
Nani asiyejua kuwa Watanganyika mmetawaliwa na udini, nani asiyejuwa kuwa Udini ni masalia au kovu lililoachwa na watawala wenu wakati wa ukoloni, nani asiyejuwa uchaguzi wa 2010 huko Tanganyika watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.