wakilizika na umbile waliopewa na mwenyezi MUNGU hawatapata wanachokitafuta, huo ulimbukeni ndo unaosumbua watu, maana ilikuwa mikorogo na sasa tena hips!!!!!!!, mbona wao hawatumiiii???
yes!!! hiyo babukubwa, ninafikiri itakuwa njia nzuri ya kuwakomesha watu hawa wanaopenda wake za watu, unamuona mzuri tu unafikiri hagharamiwi. big up kwa wote waliomfanyia hivyo
jamani english kozi hyo ipo juu sana kwa sasa, kwani kuna jamaa mmoja alishawahi kufanya interview na ID card wakati wengine walikuwa na vyeti vizuri tu, lakini cha ajabu alikuwa selected wa kwanza akawaacha hata waliokuwa na vyeti vyao, kwa hiyo ebu tujitahidi kuongea english, hii ndo maana...
ebwana unatisha ile mbayaaaaa!. please nakuomba my bro tabia hiyo uiache, katika jamii haistahili ndugu yangu, pia unawezaje kumpenda msichana siku mbili tu na ukamwamini na mbayaaaa zaidi ni mdogo wake rafikiyo, think twice before you make decision,
do mimi inanisikitisha sana, inamanisha hata huyo mkandarasi aliyejenga shule hiyo ya idodi hakuwa na akili, maana kama nyumba ya familia ya watu watatu inajengwa na inakuwa na emergence door, litakuwaje hilo bweni la kulala wanafunzi 400 likawa na mlango mmoja tu, sijui kasoma shule gani hiyo...
inabidi kuwepo na ulinzi wa kutosha si kama unavyojua wabongo, wana njaa kama nini
hivyo nashauri kamanda wa polisi mkoa wa pwani aimalishe ulinzi vinginevyo watu watapigana na watataka wakachote mafuta mpaka kwenye kwenye vijiko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.