Nimekua nikifuatilia mjadala wa bunge muda mrefu na kwa kweli NDUGAI umepoteza mwelekeo kabisa.
Umekua ukikanyaga na kuzisigina sheria wazi kabisa,tunakuona na jua kuna maisha baada ya bunge na soon tutakutana mtaani,
Aisee nenda hata ngumbaru ukajifunze Kiswahili fasaha[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mzalendo na sio mzarendo.
Maslahi na sio masrahi.
Tajiri na sio tajili.[emoji85]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.