Kaka! haya mambo wanayajua, yote kabisa! tatizo ni hao waliopewa mamlaka ya kuwajibisha wanakosa ujasiri wa kufanya hivyo maana na wao ni sehemu ya tatizo, kwani hujawahi kusikia upande wa polisi na uhamiaji, afisa anapangiwa mahala asipokuwa anamkumbuka mzee anahamishwa ,mara moja tena wakati...
Nakubaliana na wewe Bw. Godwine na hasa kuhusu utoaji wa maagizo, hili nalo limekuwa tatizo katika serikali, magizo mengi ya serikali yamekuwa yanayolenga amakujinufaisha mtu binafsi au kujinufaisha kisiasa zaidi, tena ni maagizo yasiyojali utafiti,tathmin na uhalisia. mifano ni mingi tu...
Nimekupata Bw Godwine asante kwa kueleza kwa weledi, lakini tambua kabisa mtu mwenye dhamana kubwa kama Bw. Utoh anapaswa kuwatizama watanzania na kuwahurumia sana na kisha bila kuyumbishwa na waliomuweka hapo aokoe fedha nyingi za serikali zinazopotea kwenye halimashauri zetu; mi nadhani ni Dr...
Kuna tetesi kwamba Bw. Ludovick Utoh amepoteza uwezo na ujasiri wa kuibua ubadhilifu wa fedha za serilkali na kuchunguza usahihi wa matumizi ya fedha za serilkali na mashirika ya umma kwa sababu tayari alishamaliza muda wake na kuongezewa muda mara mbili.
Kwa nafasi ya Bw. Utoh ni mtu...
Mada zingine hazipaswi kuingia humu,mfano mada ya kimajungumajungu kama hii inatafuta nini humu? Yaani kweli kwa akili zako tuanze kula unit kwa kujadili mdomo wa NAPE kweli? hebu usiwe mvivu wa kufikiri kama huna kitu cha kuweka tukijadili acha, sio kuleta mambo ya kipuuzi great thinkers...
Hili jamvi bwana ni kiboko, lina vituko hata kama hutaki kucheka utacheka tu! sasa wewee, ushauri gani huo unampa? mwenzio yuko Serious we unaleta masihala!
Sasa imekuwa kawaida humu ndani watu wametekwa na jinamizi la kujadili majungu na mambo yasiyokuwa na tija katika Taifa hili ambalo liko katika wakati mgumu sana! Inashangaza licha ya kuwa na mambo muhimu kabisa leo tunajadili eti HECHE anakaa kwa kaka yake, hii hata uwe upande wowote katika...
Mmh! inaonyesha mapenzi yenu bado yana utoto mwingi,hebu someni kwanza mapenzi yasiwachukulie muda sana, zingatieni masomo kwanza, msiwape uchungu wazazi/walezi wenu, tuachieni sisi tulioota mvi hadi videvuni, ninasema haya ninafahamu, mapenzi yanagharimu sana afu yapoteza muda bila kutambua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.