Kuna rafikia yangu alikuwa na baba wawili. Mmoja alifariki akamwachia uruthi. Huyu wa pili akaendelea nae hadi alipofariki. Alinambia yeye akiambiwa huyu baba yako hakatai anaenda nao sawa.
Katoto kazuri nimefarijika na haya uliyoeleza kwa ufasaha. Kikubwa nilichojifunza ni kuanzia chakula, mavazi, malazi, afya, na upendo. Ila itategemeana na uwezo wa kifedha.
Wadau wa jukwaa hili bila shaka muwazima. Nina swali ninaomba kujuzwa. Je ni mahitaji gani yanahitajika kutolewa na mwanaume kwenye kuhudumia mimba? Kwa sababu kuhudumia mtoto inafahamika wazi mahitaji yake. Ninaomba kueleweshwa mahitaji yahusuyo kuhudumia mimba.
Nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.