Search results

  1. H

    Wadau Wanyama 116 ikiwemo Twiga(nembo ya Taifa) Wapo Dubai

    Wallah! Ni kwa kuwa nchi haiwezi kwenda bila ya kuwa na viongozi, vinginevyo ingekuwa bora tubaki bila ya kiongozi yeyote kwa sasa. Ni kama mtu anayetendwa katika mapenzi, hatimaye huamua kubaki bila mpenzi angalau kwa muda fulani, maana HAINA MAANA TENA kuwa na watu wasiojua ni kwa nini wapo.
  2. H

    Meya wa Jiji la Dar Masaburi ajibu Mapigo ya Wabunge; Masaburi awatusi wabunge !!!!

    Kuwa na uhakika si kazi ngumu lakini kuthibitisha KITAALUMA hasa kisayansi ni kazi ngumu ama kwa lugha nyingine HAIWEZEKANI, vinginevyo awe, yeye binafsi, ana uwezo wa kufikiri kwa kutumia Makalio yake. Ama yawezekana na yeye tayari ni miongoni mwao maana hiyo ni lugha imayokera.
  3. H

    Wenye mitandao mnatukera na meseji zenu za matangazo

    Ni heri kama wangeacha matangazo yabaki kuonekana unapouliza salio & kwenye cell Info Display yapokezane na taarifa za minara maana ukiyachoka unaswitch off, huyaoni tena kuliko sasa. Na matangazo haya naamini hayamo katika Vigezo na Masharti (Terms and Conditions).
  4. H

    Imani yetu kwa serikali ya Kikwete

    Japokuwa ninaweza kuwa nimepitwa na wakati katika kuyasema haya hasa kwa kuwa aliyasema siku nyingi sana, napenda kukubaliana Msemaji aliyetangulia {Nd. Kitia) katika karibu kila jambo alilogusia. Lakini kwa kuongezea tu ni kwamba inasikitisha namna ambavyo WATANZANIA, walio wengi wanavyojitenga...
  5. H

    Madereva wa mikoani wasitisha mgomo wao!

    Kubwa ni kwamba Rufaa pekee ndio ingeswala la msingi maana sijawahi kusikia hukumu iliyotenguliwa kwa sababu ya mgomo.
  6. H

    Madereva wa mikoani wasitisha mgomo wao!

    Kwa hakika nakubaliana na jamaa aliyesema kuwa msaliti wa utanzania hawezi kulinda mali za Tanzania. madereva walikuwa na haki/au sababu zakugoma maana wahenga walisema "ukiona mwenzio ananyolewa basi na wewe tia maji" hivyo madereva wana kila sababu ya kugoma maana wakati wowote yanaweza...
  7. H

    Jengo la TCRA ubungo aibu usiku

    Hata mimi sidhani kama jengo hilo linatia aubu isipokuwa tayari baadhi yetu tumeshakuwa na Fikra za kuwa tunaibiwandio ndio maana tunakuwa "sensitive" sana siku hizi.
Back
Top Bottom