Baada ya mechi kwisha alihojiwa akasema.
"Hali ya hewa haikuwa nzuri Ila maamuzi ya refa yalitugharimu kwakuwa alitoka ukanda huu,tutarudiana na pia refa atatoka ukanda wetu"
NB: Simba waanze mkakati wa kujipanga magoli yasirudi , benchi la ufundi ijipange mapema kuhusu hiyo kauli maana...
kwani nani hajui hao ,ligi ikianza kelele kibao ,mwaka jana waliongiza ligi zaidi ya point 10 wakafika wapi ,ligi ndo imeaza draw tu ya Simba kelele kibao
Mkuu uko mkoa gani ndizi zinastawi?maana mi ninaeneo langu hapa dar maji yapo inakaribia miaka miwili eneo linakaa tu naona nimeshawishika na hiyo kilimo chako sasa ndo sijui kustawi kwake
Kwenda kuangalia msiba uwanja wa taifa ndo inashangaza ,ila kwa mpira siyo mbaya but Cha kujiuliza mechi ya derby utakaaje na mtoto mda wote mle ndani?
Kuna siku mechi ya derby jamaa aliingia na mtoto wa kama miaka 6 ,yeye kavaa Simba mtoto kamvalisha jezi ya yanga halafu akaenda kukaa uwanja wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.