hapo ndo utamkubali mwalimu, aliliona hilo kwa ug na mapema tu tukamng'oa amini ili tuwe na amani. hapo hamna namna zaidi ya kuingia vitani kuwang'oa hao a-lshabab. or else jirani zetu hawataishi kwa amani tena.
chadema na kanisa!! does that mean ccm na miskiti!! thats so low, hii point ni nzuri na haiko biased kivile kwa mtu mwenye mtazamo chanya! infact mleta hoja ni kama yuko sympathetic zaidi kwa waislam kama majeraha ya uchaguzi wa igunga hayatatibiwa na kupatiwa ufumbuzi wa kudumu. wanaonufaika na...
Uchambuzi mzuri, mwenye akili ataelewa. gharama za chuki za namna hii ni kweli zipo. na ndugu zetu waislam wanapaswa kuwa makini na viongozi wanaotumia taasisi zao kwa manufaa ya chama flani. huwezi kuusemea moyo wa mtu na ni ukweli usiopingika kwamba hata wakristo wapo wengi tu waliokwazika kwa...
Nafikiri benno is trying to be realistic here, na ukweli usio na mawaa ndio unaweza kuisaidia ccm isife moja kwa moja pindi ikishaanguka kwenye uchaguzi wa 2015. kwani hata chadema kitahitaji upinzani wenye nguvu ili kitekeleze ilani na sera zake kwa ufanisi.
honestly nshahama siku nyingi hiyo radio siisikilizi kabsa kwa sababu ya huyu kibonde, yuko kama ze comedy ya kina masanja nshawapotezea kitambo coz hawana jipya zaidi ya kujikomba kwa utawala. politics ni kama dini to some extent na ukishaikashfu imani ya mtu unamtoka moyoni, akilini, na rohoni...
mmmh, kazi kweli kweli..... kwa huu upepo unavyovuma tutakua na chaguzi nyingi sana!! kwani kila anaejua kusoma nyakati inabidi ahamie cdm nw. CCM is a sinking ship kwa hiyo kuendelea kuing'ang'ania lazima utazama nayo na by 2013-2015 atakua ameshachelewa na hatapokelewa cdm. Na kuanzisha chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.