Habari zenu Wana JF
nahitaji msaada , nyumba ya ghorofa(apartments) inaYofanya biashara ya kupangisha ikiwa inamilikiwa na watu 7. Wamiliki wakifungua kamapuni kwa ajili ya kuendesha shughuli za upangaji au kuendesha shughuli zake za ukodishaji kama watu binafsi kutakua na tofauti...
Habari zenu..hope mko poa..
nimenunua tv inch 55..but tatizo lake nikiconnect kingamuzi chochote picha inatoka black and white ..yaani haitoi rangi.
But nikiconnect dvd ya singsung..nikiset to Ntc.inatoa rangi...
so kwa upande wangu hii tv system yake ni pal na hapa inatumika ntc..
So...
Habari zenu wakuu,
Ninahitaji kutuma pesa internationally kutoka Tanzania kwenda India. Njia kuu nilizozisikia ni Western Union na Moneygram..
Katika hizi ipi ni bora na kwa nini? Je, makato yake yanakuwaje? Especially kutoka Tanzania kwenda India? Na nchi nyingine je inakuwa vipi?
Maelezo...
sorry for what you have,, Bt i recomend usiweke picha for privacy issue,, kuna watu humu jf wanaweza wakawa friends and family..so utakuwa umejiexpose..
Really iam sorry... those medicines,, they are hard,, arent easy...
Habari zenu wanaJF,
Kuna ndugu yangu, kwa kweli ni mtu mwenye umri tena, 24years. na wala hana cheti cha form 4. alifeli kabisaaaa
sasa ameamua kusoma ili afanye mtihani aweza kupata cheti na kuendelea na elimu
1.JE ATAPATA WAPI MWALIMU WA KUMFUNDISHA HAYO MASOMO, ESPECIALLY YA BIASHARA...
Pole na tatizo,, What you need to do nikwenda kweye safemode by pressing F8 key,then select safe mode,, ikishafunguka do system restore( Click start,all programs,Accessories,system tools, system restore. Then select the last date ambayo computer yako ilikuwa inafanya kazi vizuri...Then click...
Hello jf members
nahitaji msaada ni sehemu gani nitampta daktari wa wanyama, nahitaji kumzuia paka wangu asizae!!
if possible nikipata full details zake, i will be gratefull
hope to get help sooon
NATANGULIZA SHUKRAN
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.