utakuwa ni ujinga na upumbavu kumkimbia mtu kama kibaraka anayemtegemea siku zote kuendesha maisha yake kwa kumtegemea mtu anayejifanya engeneer na kufanya kazi nje ya nchi huku akiwandanganya wana kyela kwamba anao uwezo wa kuwaletea maendeleo,wakati hata kuzungumza hakuna mvuto,sijuwi hata...
katika watu weupe juu wewe ni namber one, kwa taarifa tu sisi watu wa Kyela tunajua hata hutubia Mwakangale na unatunga maneno ya kinafiki yasiyo na upeo wa uelewa. hivi kwa nini uandike tu bila kufanya utafiti? Dr. mwakyembe yupo kyela, amelala Ikolo na Matangazo yametolewa atahutubia viwanja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.