Search results

  1. C

    Mashine ya kufunga mifuko ya sembe

    wakuu kampuni gani inatengeneza vifungashio vya bidhaa*pakiti*
  2. C

    Kwa wakulima,wafugaji na wafanyabiashara.

    habari, kwa wale wanaohitaji kulima hasa maharage mashamba ya kukodi yanapatikana na unaweza kulima mara3 kwa mwaka na kiwango cha chini ni gunia5 kwa heka,, kwa wafugaji pumba na mashudu vinapatikana kwa bei nafuu na itakufikia popote ulipo,, kwa wafanyabiashara maharage ya soya kiasi...
  3. C

    Ufugaji na kilimo unalipa sana

    safi sana mkuu,+ HAPO VIP WAKUU?
  4. C

    Ufugaji na kilimo unalipa sana

    asante sana kwa kutufumbua macho tunaoanza,mawasiliano tafadhali
  5. C

    Natafuta mtu anayeweza kulima kilimo cha muda mfupi (mboga mboga)

    mimi niko tayari,ni mkulima wa muda mrefu wa nyanya,spinach,chainiz,pilipili hoho,matango,karoti,bamia,mchcha nk..nichek kupitia 0653855285
  6. C

    Toa maoni: Vyuo vya uuguzi vyafungwa

    wakaguz wa serikali leo wamefunga baadh ya vyuo kadhaa vya uuguzi jijini Dar es salaam kwa kukosa sifa za kutoa mafunzo hayo.je ni sahihi kufunga vyuo wakati usahl wa wanafunz umeshafanyka na ada zmeshalipwa,,,nani alivipa usajil kama havijatimiza sifa!!?nini HATMA YA WANAFUNZI waliokua...
Back
Top Bottom