Midhal sisimiz tu huwez kumpa uhai itakuwa huyo mtoto utakapomtoa cku akija kudai umpe uhai hapo ndo utakuwa na majuto. Na km ulikuwa huitaki uliibebea nn kuwen na akil. Mnavaa socksi kabla hamjapata kiatu
Mm cjamaanisha abt kuoga nimemaanisha kwenda saloon na mengine kukwatua vengine ukitoa haziot mwez but c kwa wembe kwa maarifa mengine hahahahahha.. 2 days kwa mwezi???atanuka kama beberu,mwanamke hujiswafi kila siku,miili yetu ni tofauti na yenu,usafi ni suna kwa...
Pole.. Jaribu kuchange styl na jaribu ww kuwa mjanja ucwait mpk yy akufanyie ww kitu. Na jitahid umvute akili yake iwepo hapo mlipo co kwengine au mastress
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.