Yes Nyenzi ilikuwa ndio mtandao wa kwanza kabisa, kama unawakumbuka wakina mdosi mzalendo, Dues, Curtis(waziri makamba sasa) uncle Ben na wengineo.
Kwa kweli zama zimebadirika
Sent from my SM-A226B using JamiiForums mobile app
Hii inanikumbusha wakati wa mubarak huko misri. Vijana wengi walitumia muda mrefu kubishana kuhusu zamalek na arsenal wakati wao wana njaa..yaani TV zote zilikuwa mpira tu all the time.
Kumbe ilikuwa diversion tactic ya serikari. Ila walivyoamka tu waligundua upuuzi huu, wakaanza harakati.Tz...
Mwaka 1985, age, 9 years ndio mmeingia kwenye Boeing 737 kuelekea mwanza. Mnatangaziwa captain Leo wa ndege atakuwa George Mazura.
That feeling ilikuwa ndio definition ya adventure enzi zile
kweli miaka imeenda.
RIP Mazura,
Sent from my SM-A505FN using JamiiForums mobile app
Sio nwamwasa tu aliyethibitisha.Ni pamoja na ripoti ya wahuspania na wafaransa pamoja na aliyekuwa mkuu wa upelelezi wa Kagame Patrick Karegeya ambaye aliuawa.Kama kagame hana cha kuficha kwanini anawaua waliokuwa washiriki wake?
Sent from my SM-A505FN using JamiiForums mobile app
Na hicho RPF walipanga kabisa na sio hivyo tu, RPF vilevile waliua watusi wenzao wengi tu pamoja na wahutu.
Sent from my SM-A505FN using JamiiForums mobile app
Kagame anapata sifa nyingi sana hasa kwenye vyombo vya habari vya magharibi lakini ukweli ni kwamba sababu kubwa ya kupendwa ni kwamba yeye pamoja na Museveni ndio walinzi wakuu wa western interests katika great lakes region (hasa Marekani).
Katika historia ya Afrika Mashariki na kati hakuna...
Bank ya dunia imesema haitatoa mkopo mpaka takwimu na Tahadhari nyingine za covid zitakapochukuliwa sasa naona Samia anaanza kutoa maelekezo.
Mdogo mdogo Samia ataelewa tu maanayake viongozi wengine wa Africa lazima washikiwe Fimbo.
Sent from my SM-A505FN using JamiiForums mobile app
Wakati tukiona wimbi la tatu likianza nchi za jirani, Raisi wetu ana mpango gani kuhusu korona?
Mbona bado takwimu hazijaanza kutolewa? Je, huko mikoani kuna vipimo?
Je, hospitali zote hasa mikoani zimetayarishwa pamoja na vitendea kazi?
Je, vyama vya madaktari vinasemaje?
Sent from my...
Mimi naona tatizo la vijana Tanzania ni kutokuwa na uharakati. Vijana nchi nyingine wakiona serikari yenye dhulma huandamana kudai haki zao.Hapa Tz weka diamond tu hutawakosa.
If you don't take yourself seriously nobody will.
Mwanakijiji you're talking nonsense, Magufuli should be made responsible for the majority of covid deaths in TZ because of his attitude towards the desease.
This president is verging on the absurd!!! It's hard to believe whether we Tanzanians are in a dream or this is for real. This is a good lesson to all Tanzanians, that without katiba mpya even a madman can be a president. What is even worst, Tanzanians haven't seen the end of this drama , more...
Nimemaliza kusoma kitabu kinachoelezea mapinduzi ya Zanzibar kwa kinagaubaga.Ni kweli mchango wa Okello ulikuwa mkubwa sana.
Ni ajabu mchango wake umefutwa kabisa na karume na wenzake.Lakini sina shaka mbeleni huko mchango wake utatambuliwa.
Sent from my SM-A505FN using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.