Nimevitiwa sana mimi mwaka jana nikuwa nafuga hawa wa mitandao koroiler wanaitwa. Nilisoota sana wanamagonjwa kila kukicha, wanakula kaa wanahama, hayana habari na kutamia. Nikawauza december, nikaanza kununua pure kienyeji waswahili wanaita chep4ere wanapedwa sana kwa biashara niligundua...
mitamba wenye mimba kuanzia miezi mitatu aina ya freshian au Eshian ni kuanzia milion 1,600,000 hadi na laki 8 kutegemeana na umri wa mimba. Ukishachagua ndio tunazungumza.
Kufika: Njoo jirani na njia ya kuelekea standi ya daladala ya mawasiliano hapa Ubungo. Ni pm au WhatsApp hii namba 0626641591. Fuga ng'ombe wa maziwa, mahitaji ya maziwa ni makubwa sana mjini hapa. Karibu.
Ili kuweza kufuga tutakuelekeza kuanzia chanjo mhimu 3 unapompokea ng'ombe hadi azae...
Asilimia kubwa ya ngombe wanaofugwa dar wanatoka Arusha na kilimanjaro. Swala kucope kuna chanjo mahalumu unapaswa kuchanja ng'ombe sii baridi. Tena ng'ombe wanaotoka sehemu za baridi kwenda kwenye joto huongeza uzalishaji wa maziwa.
Njoo whatapp tuone jinsi ya kufanya coz tuanadeal na wenye mimba na mbuzi wa maziwa ndama wateja ni wachache ila naweza kupakilia kwenye lorry litakaloleta 0626641591
K
Karibu tutazungumza lakini wanarank kuanzia 1.6mil hadi 1.8 mil basing kwenye umri wa mimba na umbo, transport included. Tutajuzana watakaposhushwa mkuu we njoo whatsApp ni simple kujibu maswali pesa yako itakuwa ya mwisho kabisa baada ya kuhudumiwa.
Baada ya wateja wengi kutoka Dar kuongezeka, sasa tunawaletea huduma karibu. Mapema wiki ijayo Lorry lenye Ng'ombe wa mziwa litawasili Dar. Tunachokuomba ufanye wewe, ni kufika katika boma letu kisha utachagua Ng'ombe umpendaye tutapatana utalipa utapakia.
Hawa ni ngombe bora wa kisasa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.