Kifupi hatuna vikosi vyenye utayari kwa ajili ya uokozi. Police marines ndiyo wenye jukumu la msingi la kulinda raia na mali zao kwenye maji ila bahati mbaya sana hata muundo wake hauko sahihi na pia hawana vifaa vya vya kutosha vya uokozi lakini pia wao hawana mafunzo ya kutosha.
Ilitakiwa iwe...
Sijui mleta Uzi anatoka mkoa gani, ila mikoa mingi Tanzania inafanana kwa maana ya Huduma.
Kuna maendeleo yamefikiwa kwa kiasi fulani hasa Kigoma mjini. Barabara za mjini zimeboreshwa sasa hivi, nilifika kwa Mara ya kwanza Kgm mwaka 2000. hali ni tofauti sana na sasa.
Vyakula bei kuwa...
Habari kuu sasa ni ndege za Rwanda, dah... Tumesahau kabisa tuna Madini,Bandari za kumwaga,bahari kuu,mbuga,mlima mrefu zaidi Africa nk.
Hivi tumerogwa na nani? Kweli mlinganishi wetu awe Rwanda?
Hebu tuwe na vipaumbele basi kama tumeshindwa kabisa!!
Dar Songea ni moja kati ya route ngumu sana, barabara sio nzuri hasa kutoka njombe kwenda songea,nyembamba,kona na miteremko mikali kwa umbali mrefu,
Naamini ni ajali ya bahati mbaya,
Hospitali ya Litembo imepoteza umaarufu sasa hivi, sio ile ya zamani ya wakati Wa Dr Wayer, hata hospitali ya Anglican ya Liuli nayo kwishaaa!! Kama ni mgonjwa bora Peramiho ambayo haipo wilaya ya mbinga.
Well said kiongozi, najiapiza niende China nikangalie hiyo mashine ya kuchoronga toothpicks, inatia hasira sana, una import vijiti tena vya mianzi
Hivi pale mafinga hakuna mabaki ya miti tukawa wazalishaji wakubwa wa hizo toothpicks kwa nchi jirani?
Unataka shilingi iwe imara kwa upuuzi huu...
Jamaa kafanya kazi sana jimboni kwake, kati ya majimbo yaliyo kwenye jiografia ngumu ni pamoja na ludewa, hiyo kata ya lupingu ilikuwa ngumu sana kufikika toka ludewa mjini,
Lakini sasa barabara inapitika, umeme naona nguzo zinaanza kupelekwa,
Usife moyo Mbunge, maana huwezi kumfurahisha...
Siku nyingine tumia njia za haraka japo ghali kidogo lakini barua au Kifurushi hufika haraka na pia unakuwa na namna ya kuufuatilia kwenye mtandao mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.