Mijitu mingine bwana nawahi mahakamani mtu kashapigwa chini safari hakuna posho wala mshahara
kudadeki kama zamani tuu full njaaa na ilemela tumekata rufaa nahbari zilizopo Hihness atapigwa chini
chezea cc
Hatimaye Mnyika abwagwa na Chandim eeh ooooh no chandema wanapoteza jimbo lingine hapa
bila shaka nape atakuwa amefurahi sana maana alikuwa analiwinda jimbo hilo CCM tushaanza mikakati
yakuwabwaga mahakamani ili mkose ruzuku
Mwana sheria mkuu mie nashangaa huo ujaji aliupata vipi bilashaka wakati anafanya ujaji alisha wafunga watu
wengi pasipo hatia kutokana nakuwa na uelewa na upo mdogo alionao, ni mtu mropokaji hataki kufikiri jambo
mara mbili, maana kabla ya vuguvugu la kudai katiba halijapamba moto alishadai...
Bilishaka wanataka kuanzisha mgogoro na wananchi, wao wenyewe wachukulia simple haya tusubiri na tuone
mtanange huu wa watawala na watawaliwa amkeni watanzania saa yaa kupata uhuru ni sasa wasituburuze kama wanaswaga n'gombe
amka amka amkeni mbona mnalala watanzania tunamalizwa tunamalizwa...
Nilicho gundua viongozi wengi wakiafrika wanajifanya vipofu kwa kuacha kutatua tatizo na kutumia mabavu
hivi unawatimua machinga wasijitafutie riziki unataka waende wapi wakati huja waandalia eneo mbadala lakufanyia biashara
Huyu Mwakalinga ndio yule tulie pata habarizake, kwamba katumwamwa na wazee wa epa aka mafisadi papa aje amng'oe mwakyembe, lakini si katiba inamruhusu kuchaguliwa nakuchagua , tukae natuone lakini kama katumwa namafisadi hii haitakubalika akiliyake itakuwa fupi kama funza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.