Anatafuta sifa kwa kuwadanganya watu. Akichukua itabakia kuwa amechukuwa. Ameenda kuzifanyia nini sisi haituhusu.
Kama sharia za bunge zinaruhusu, apeleke bank account numbers za huko anakotaka pesa ziende.
"...let it not be like hogs
hunted and penned in an inglorious spot
while round us bark the mad and hungry dogs
making their mock at our accursed lot..."
Huwa nakumbuka mbaaaaaliiii, nafikiria meeeengiiiiiiiiiii
Mkuu, ukisoma kwa kutulia, utamwelewa kuwa, kuna waonadai kuwa CDM ni sacoss na ipo kaskazini na ni ya wachaga. Kule ni Tunduma (wakazi wengi sio wachaga). Nguu ile ya CDM inatosha kuwa kimeenea nchi nzima
Kutegemea kumpata kondoo kutoka kwenye uzao wa ukoo wa fisi ni kujitakia maradhi ya moyo siku zijazo.
THEY SAY THERE IS HOPE FOR A BETTER TOMORROW, BUT WE FORGET THAT TODAY WAS YESTERDAY'S TOMORROW
Ni kweli mkuu. Mi nimeongea na madereva wa daladala na nimewasikia madereva wa malori wanasema waliamua kuingia barabarani kwa HESHIMA ya MBOWE. Waacheni wasiojitambua waendelee kuufumbata upepo. Ukweli mchungu ni kuwa mioyo ya watanzania wengi imejaa hasira na tutalipa kisasi kwa ccm October...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.