Shule za Binafsi ni pigano la kisaikolojia na uboreshaji matabaka.Its a means to make easy money, Hata mishahara ya waalimu katika shule hizo si nzuri kama Ada ilipwayo.
Pia zimwi la TUITION liangaliwe yaani mwalimu anadiriki kutofundisha vizuri saa za kazi anazolipwa mshahara wa umma ili tu...
Iwe Magufuli anatekeleza sera za CCM au UKAWA la muhimu ni kuwa anafuta machozi ya muda mrefu ya watanzania.
Hivyo kwanini tuendelee kulaumiana wakati matumaini yetu yanaonekana kutimizwa na mwenzetu John Joseph Pombe Magufuli?
Zaidi kabisa ni kumuunga mkono. Askofu Gwajima amekiri tu...
Ndg Pasco,
Kwanza niseme Sisi tuliowengi ndio tumedhalilishwa na wachache tuliowapa DHAMANA kutowajibika ni tendon la GOOD GOVERNANCE?
JE hawakujua zipo consequences kwa njia moja ama nyingine ie kuwajibishwa, kulindwa na kufumbiwa macho.
Pasco, zipo njia nyingi za kufika ROMA!
Inaweza kuwa non sense lakini,
Katika kashafa kubwa za ubadhirifu wa fedha za umma nitaje EPA (na vizaliwa vyake) ,Escrow na hating chafu za mashirika na halmashauri za umma-- -naonekana mamlaka ya juu ya nchi ilisemekana kuhusika kwenye uidhinishwaji wa ukwapuaji.
BoT na sasa mabenki mengine...
Wizara ya fedha na Taasisi zake ndiyo mhimili wa ugavi wa keki ya taifa.
Tuliwahi kuambiwa uidhinishwaji wa feha toka hazina kwenda Kagoda na hata kutolewa benki kuu EPA na ESCROW zimeidhinishwa na wizara kwa maelekezo toka ikulu.Ili huu mchezo uishe wizara ya fedha ibaki mikononi mwa Rais.
Kwanini mnafanya issue kuwa complicated?
Issue ni kuwa uchaguzi huu ulikuwa uchaguzi mkuu wa Tanzania.
Si wa Zanzibar!!!
So watanzania wa Zanzibar wanahaki ya kumchagua RAIS WA JMT.
Wanabodi Wasalaam,
Ni dhahiri kuwa Watanzania waliowengi hawajui kusoma, kuandika na kuhesabu ( kkk) .
Nimeshuhudia wengi wa waliopiga kura kijijini kwangu walisaidiwa kuandikiwa tiki yao kwa waliowachagua.
Katika hali kama hii je watu hao walitoa sauti yao? Je ilisikika? Yaani je...
Wana jukwaa,
Pamoja na ugumu wa TBC kusikika maeneo mengi ya nchi yaonyesha wazi ilivyo biased katika kutuhabarisha ipasavyo kuhusu mwenendo wa kampeni za uchaguzi mkuu 2015.
Hivi ni wagombea wa CCM TU NDIYO WANAOFANYA KAMPENI WENYEWE NA KUSEMA?
Tuitake TBC itutendee haki Habari ni haki na...
tang'ana;Kama imekuuma sana nenda kanywe sumu
Watu Rwanda waliitana mende...kama hujui kufa chimba kaburi.
Iwe ni sumu atainya au kukatwa panga kufa ni ile ile.
Utatamani usiwe mtanzania siku amani inatoweka.
Yap, Ben ameiharibia CCM, ile tabia yake ya kuwa arrogant Kumbe hajoiacha.
Watanzania 75+% ambao kwa miaka 40 ya CCM wametoa vyote walivyonavyo -KODI NA NGUVUKAZI kwa nchi hii wakaadhibiwa na CCM KWA KULAZIMISHWA WASIONDOKANE NA maadui MARADHI, UJINGA NA UMASIKINI haiwezekani wakidai ukombozi...
Haisaidii tena wako wangapi na ikiwa papiga kura walioandikwa ni 23+ million 5,7 or 8 million si significant viiile pia ukizingatia si wote wapo daftarini au hata waliopo watapiga kura wote,
selemani maige Mie nashauli tu wakuu kulingana na afya ya mgombea wetu angepumzika mpaka kampeni zitakapozinduliwa, naona kama anatetemeka sana asijeanguka kabla ya kampeni kuanza, angetumia muda huu kuendelea na matibabu ili kampeni zikianza awe amepata nafuu kidogo. Nawasilisha wakuu. Naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.