Je ni kweli kwamba serekali imewashindwa hawa watu je sio miongoni mwa raia wa tz kwa nini waishi watakavyo wanatuibia stand kuchana mabegi wanatumia silaha ya nyembe kudhuru wengine kwa nini wasipelekwe Mahali wakapata ujuzi na kuajiriwa je serekali ingekosa mapato na rasimali watu hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.