Sidhani kama alivuliwa nguo, mbali zilivutwa na impact ya ajali. As I said, freak accident, Najiuliza Je aliruka from a moving vehicle, alikua dragged with the vehicle au ilikua hit and run that ripped his clothes off?
Nakumbuka hicho kisa sijui kesi yao iliishia wapi. Mwili uligundulika wakati wanachimba kaburi kwa ajili ya kumzika bibi yao eneo la familia. Wakakuta maiti yenye nguo sawa na mzee aliepotea longtime.
Ngwair kafunika. Ngwair alimuonesha mrembo dira, alimchora tattoo pajani, alimpa cheni na ana mimba yake anayohudumia. Mchizi mox kala left overs.
Ila mmh toka shule ya msingi sasa mbona wote wamedeal na under 18!!!
I knew there was a catch. Jinsi mdau alivyokua anaongea nilijua tu he is trying to sell us something.
Strategy mbona zipo youtube kibao. Ninayotumia mie hio hapo chini pakua bure kabisa.
Download hizo videos uzipitie zote - itakuchukua kati ya wiki sita hadi nane (Hamna pesa rahisi...
Daah unachezea mabinti wa wengine wakwako akiguswa unachanganyikiwa. Laiti kila ungeona mwanamke ungejikumbushaa huyu nae ana wazazi na wangependa nimuheshimu binti yao, bibie angetoka salama.
Kuhusu Nguo shosti sioni tatizo hapo, mnunulie darling wako apendeze.
Husband kusaidia ndugu pia sioni tatizo as long as hakufichi, kila kitu anakwambia. Ni bora wasomeshwe na kuwezeshwa mapema ili baadae wasiwe mzigo kwenu.
Pia kama mdau mmoja alivyosema huwa kuna kurudisha fadhila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.