Wakuu Kwa Hiyo Bei Haipungui, Ps Zinapiga Kaz Zipo Ofisin Kwangu, Pia Utakuja Kuuziwa Ofisin, Kwa Kuridhika Mwenyew, Leng La Kuuz Ni Kununua Ps 3, Kwangu Wateja Wanapenda Ps3,
Ps Moja Ina Pad 2, Na Waya Zake, Haina Flash, Na Ps Nyingine Ina Pad Moja, Haina Flash, Kuhusu Picha, Samahan Natumia Simu Ambayo Uwez Wa Kamera Ni Mdog Mno, Kuhusu Ubora, Utakuja Ofisin Kabisa,maana Zinapiga Kaz Kwenye Ofis Yang Ya Ps, Lengo La Kuuz Nataka Ninunue Ps 3, Asanten
Wakuu habarii?
Naomba kwa MTU yoyote ambaye anafahamu hii biashara ya kuchukua move kwenye mtandao kisha kubarn na kuziweka kwenye CD, au dvd, namaanisha biashara ya aliyokuwa anafanya lufufu,
pia naomba unifahamishe je kuna sehemu maalumu wanazozalisha hizo CD, na kwa bei gani kuzalisha...
naomba nichangie kidogo kwa ninachokifahamu kuhusu huu mfumo,kwanza huu mfumo haukopeshwi pesa,Bali unaenda benk unasema unataka kufanya biashara gani? na wapi,na business plan yako ikoje,utapate faida, baada ya benk kukuelewa biashar yako harari, basi wanakununuli hiyo bidhaa popote pale...
wakuu naomba mwenye Kujua machine ya kubarn/ print CD zenye cover juu, he naweza kupata wapi,na shilling ngapi,na na iana gani hiyo,napenda yenye uwezo wa kubarn CD mia moja kwa siku.msaada wadau
wakuuu habari,naomba msaada wa kuelekezwa wapi wanaburn CD ambazo zinzlakuwa na cover lake juu ya CD, pia nifahamu ni shilingi ngapi kwa CD moja, na wanauwezo wa kubarn CD ngapi kwa siku, msaada wadau
je wakuu, kuna mitandao tofauti tofauti ya kuuza bidhaa,je kila mtandao inabidi nijisajili tena,au kwa kuwa nimeisajili paybal,basi ni rahisi nikiingia mkwenye mtandao wataweza kunipata na taarifa zangu zote,nitoeni ushamba hapo wadau
mkuu, kwa upande wangu nakubaliana na ushauri wa watu wote hapo juu,ila kuna ushauri watu wengi hawataki kusema, je unaamini kuna uchawi? je vitabu vya dini vinaamini kuna uchawi? je unaamin kuna kinga ya uchawi? je kwa nin wachaga na wakinga wanaendelea sana biashara zao? hakuna tajili dunian...
nikaenda ofisini kwake, nilimchukulia poa, kumbe meneja fulani hapo benk, akaniambia asante kwa kuniletea, na akanipa na naur ya kurudia. nimekaa kama wiki mbili tu akanipigia simu na kuniambia andika barua ya post ya .... kisha peleka vyeti vyako kwa mwanasheria, kisha njoo navyo hapa ofisini...
baada ya kumaliza chuo, mtaani nimekaa kama mwaka hivi, siku moja nilikuwa maeneo ya uwanja wa taifa, kwa upande wa pili kuna stend ya mabasi ya kwenda ubungo, nikamuona dada mmoja hivi akishuka kwenye gari yake, na kwenda upande wa pili, alivaa unifom a benk moja hivi, ni superbrand. mawazo...
sasa naingia darasani, mfukoni nina laki na nusu, natakiwa nijibane mpaka miez mitatu itimie, ndio boom lingine nipewe, je kwa pesa hiyo nitafika?? kila lecture akiingia class anaacha notes zake zikatolewe copy, maisha yakawa ndio hivyo, ikabidi nijibane kwa kutokula mchana nikawa nakula usiku...
hari ikawa ngumu sana, nilikuwa nakaa histel ya mikumi, kwa wale ambao wapo chuo cha saut wanaifahamu, mungu akasaidia baada ya wiki moja, kulikuwa na jamaa mmoja akahamishwa chuo na kupelekwa saut ya tabora, so kitanda kikawa waz, mim nikalala pale kama wiki mbili tu, mara majina ya bodi y...
kumbuka nauri ya dar to mwanza ni 45000,so nilituia 50000, nikabakiwa na laki moja, basi ikabidi nilale stend ya mabasi, nyegezi, baridi langu, mbu rafiki zangu. asubuh ikafika, napishana na wototo wa vigogo wanaletwa na magari yao, mie nipo na kibeg changu mpaka chuo, nikafika mapokez nikata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.