Tatizo lingine ni huyo jirani yako...hakuna kitu kibaya kama unalala ujakunwa vzr au hujakunwa kabisa then unasikia screaming kwa jirani....hameni teh teh natania
Ndoa huwa ina phrase 3..phase ya kwanza ni ya upendo motomoto na pretending..kila mtu anaficha madhaifu yake na kuvaa uhusika usio wake kumridhisha mpz/mke wake
Phase 2; uhalisia..hapa kuna kuzoeana na kuoneshana uhalisia na tabia..hapa huwa ni pagumu na ndoa nyingi zinateteleka hapa na...
Magufuli anamtafuta Chenge..majibu ya Chenge kwenye sakata la mchanga mkuu hayakumpendeza
na kwa ile kesi angeshinda..now wameanzia mbali coz kwa hili kisheria linaweza kummaliza.
Kwa nini wanaume wa siku hizi wengi wao wavivu...wanapenda mteremko...wanapenda kuomba hela kwa wapenzi wao...hawataki kijishughulisha....wanachagua kazi...wanataka kuona wasomi ili kuendelea kuhalalisha mteremko na sio mapenzi...tatizo ni rojo na pizza wanazokula au tatizo ni malezi au tatizo...
Nadhani kilichokuponesha ni akili tu....baada ya kujua umekunywa dawa ukajiamini na ukaperform vzr na ikakuongezea uwezo wa kujiamini...ejaculation inakuwa controlled na mind...kuna kitu katika medical kinaitwa placebo...kuna watu akili na mtazamo wao huwafanya wajione wanaumwa...na mtu wa aina...
Kuna jopo la wanaume matapeli..wanakujaga kwa nia ya ndoa...na anakufanya umpende then anakupiga virungu kila siku...watch out...may be he is one of them
Kuna emergence kazini nimepiga number ya coworker mwenzangu kapokea mwanamke....nishaporomoshewa matusi rundo....duh wanawake tubadilike kwa kweli....girlfriend tu unatukana coworkers wa mpz wako...ukiolewa si itakuwa balaa....ngachokaaaa kabisa....
Sent from my GT-I9082 using JamiiForums...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.