Mapema leo, Kamati ya Utendaji ya Yanga chini ya Rais Eng. Hersi Said wamekutana kwenye kikao maalumu cha utendaji kilichofanyika katika ukumbi wa Mikutano Serena Hotel, Jijini Dar Es Salaam
Kikao hicho kilijikita zaidi kwenye kujadili ajenda mbili, Hatua ya mchakato wa mabadiliko ya...
... 🚯 𝙃𝙊𝙅𝘼 𝙕𝘼 𝙆𝙄𝙅𝙄𝙉𝙂𝘼 𝙆𝘼𝘽𝙄𝙎𝘼
Baada ya Simba SC kupoteza dhidi ya Prisons (1-2) na kushinda kwa mbinde (1-2) dhidi ya Coastal, imeibuliwa hoja DHAIFU sana na baadhi ya Maashabiki maarufu wa Simba SC mitandaoni na baadhi ya wachambuzi kwenye Media.
Wanasema kuwa kampuni ya HAIER inayozidhamini...
By Godlisten Malisa
Kuanzia tar.1 March 2024, vituo binafsi vya huduma za afya nchini vimekubaliana kutokupokea wateja wa NHIF. Maana yake ni kwamba wagonjwa wanaotibiwa kwa NHIF wako hatarini kukosa huduma. Kumbuka, takwimu zinaonesha zaidi ya 80% ya wagonjwa mahospitalini ni wanachama wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.