Habari wakuu
Naomba msaada kwa wenye uelewa na sheria za kodi. Nimenunua gari ambalo kabla yangu kuna wamiliki watatu.
Kadi ya gari haioneshi kama ina msamaha wa kodi, nimefanya mabadiliko ya umiliki na yamepita vizuri na kadi mpya nimepata ikiwa na details zangu.
Wiki tatu baadae napigiwa...
Wakuu hiyo kitu inanitesa sana, nimetumia sonadem sana pamoja na intraconazole lakin siponi. Inapotea kwa muda mchache nisipotumia dawa hali inajirudia. Mwenye tiba ya kudumu tafadhari msaada wako unahitajika sana
Wakuu habari,
Kwa zaidi ya week sasa nimekua nikisumbuliwa na tumbo. Linajaa gesi na kwa upande wa kushoto chini ya mbavu napata maumivu. Nimetumia dawa za kuondoa gas lakin matokeo bado.
Ushauri wenu wakuu.
Habari wana jamvi.
Tafadhali naombeni msaada wa mawazo, nimejaliwa kupata mtoto wa kike ana miezi mitano sasa. Changamoto iliyopo kwenye ukuaji wake ni kukaa kwa shida lakini pia miguu hawezi kuisimamia pale unapomsimamisha kwa kumshika.
Sina uzoefu sana na ukuaji wa mtoto maana ndo wa kwanza...
Umeanza vizuri ila mwisho wako unaonesha kitu tofauti...mali zake zinahusiana nini na kumdhalilisha afisa?? The issue ilikua kumwajibisha kwa kuikosea heshima mamlaka, na sio mali kaipata vp
Mkuu kwanza nikushukuru kwa elimu unayoitoa jukwaani hapa. Tatizo langu ni kuchelewa kuchanganya kwa gari yangu aina ya toyota nadia, ukitoka inakua nzito then baada ya muda kidogo inakaa sawa. Tatizo lingine kuna wakati inakua inavuma. Msaada wako mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.