THIS IS GOOD, ILA WASAHAU KABISA KUWA UTENDAJI KAZI WA UWT UNAWEZA KUANIKWA HADHARANI...NEVER.
Nafikiri tatizo kubwa lipo katika SHERIA tu haya masuala ya teknolojia na mengineyo naamini wameshabadilika siku nyingi sana kwakua UWT sio idara ya mifugo au kilimo.
namkumbuka sana akiwa mkuu wa wilaya ya MWANGA, then DODOMA na hadi kuwa mkuu wa mkoa, alikuwa mtu wa watu na mzazi mwema kwa watoto wake walioko Dodoma na kwengineko...R I P Baba yangu, tafadhali tuandalie makazi ya kudumu
Kaka itabidi tuunganishe nguvu katika hili ili tusiache hata chembe chembe za majasusi uchwara wa Rwanda Nchini, yaani nina hamu nao kinoma noma...wengi wa wanawake wao ni malaya mno mavyuoni na mitaani...wanaume nao ni watu wa kujikomba mnoo
Kwa jinsi anavyolianzisha hivi PK anaendelea kuwaponza waTutsi walioko Tanzania kwani hatutaangalia huyu anahusika au huyu hausiki kwakuwa ni watu wasioaminika hata kidogo katika ukanda huu.
Wakiendelea kuleta chokochoko tutawaanika kwa majina wale wote wanaoonekana kama majasusi wa Rwanda humu...
Ni lazima awe na hofu kwa kuwa harakati zote za mabadiliko na mapinduzi yenye tija katika ukanda huu wa afrika mashariki na kusini yalianzia Tanzania.
Anapoona na wapinzani wake wameanza kujenga mahusiano mema na Tanzania ni sawa na kona maandalizi ya ukombozi kama alivyo yafanya yeye kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.