Sasa ndio wadanganye kwamba hawana magari?!
Hii nayo ni kufuru ya aina yake, yaani kwake (na wenzake) 'mkonga' sio gari. Yaani kuwa na 'mkonga' ni sawa na kutokuwa na gari!! Hovyo kabisa!!
Hapa ndio hoja ilipo..
Serikali: Nakupa kidogo sasa, kingi nakutunzia nitakuwa nakupa kidogo kidogo
Watumishi/wastaafu: Nipe kingi sasa nifanye mambo yangu, kinachobaki endelea kunitunzia na kunipa kidogo kidogo.
Mkuu P,
Sitaki kuamini uongozi wa juu wa nchi yetu unaweza kuwa umeshuka thamani kiasi hicho, kwamba unahitajika uthubutu tu. Hata mwizi anapofanya uamuzi wa kwenda kuiba sehemu anajivika uthubutu na ujasiri. Pamoja na uthubutu tunahitaji viongozi wenye 'akili', na waadilifu. Swali ni kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.