Search results

  1. N

    IPTL saga: Tanzania kuilipa Standard Chartered Dola za Kimarekani Milioni 185

    na bado, hapa hata trailer halijaanza. Ukijifanya mbabe ujue kuna wababe zaidi yako
  2. N

    Makonda awasilisha Muswada wa marekebisho ya sheria ya mirathi

    ......kama ni hivyo upelekwe muswaada kuanzishwa kwa ndoa za mkataba, yani corporate law, na swala la mali lianishwe kwenye huo mkataba
  3. N

    Waenda mahakamani kuomba kufutwa kwa ukomo wa Urais. Wadai ukomo unazuia maendeleo. Ni mkakati wa kufanya urais usio na mwisho Tanzania

    Namfananisha na rais waziri wa ujenzi na miundombinu lkn title nzuri ya kumpa nakosa......labda tumwite Rais waziri chini ya ofisi ya Rais JK. Asilimia kubwa ya kazi anazofanya ni utekelezaji wa mipango ya maendeleo iliyosukwa either na serikali zilizopita (haswa Mkapa na Jk) au na wapinzani...
  4. N

    Nape aijibu Marekani, ataka ianze kujinyooshea kidole kabla haijaiangalia Tanzania

    CIA watakuwa wamesha hack mawasiliano ya nape
  5. N

    Ubalozi wa Marekani waleta walimu 51 wa masomo ya sayansi

    Jamaa watakuwa wamebobea kwenye ukachero .....USA babe!!
  6. N

    Chuo Kikuu Ardhi kujenga Dodoma

    cheap is expensive
  7. N

    Bila gesi asilia Tanzania ya viwanda ni ndoto

    viwanda vitajengwa na mifuko ya pension, serikali inamambo mengi
  8. N

    Kilio cha Maalim Seif chafikishwa UN

    So Pasco...whether wamewekewa vikwazo au la, do you believe this will be good for our economy?
  9. N

    Kilio cha Maalim Seif chafikishwa UN

    You are misled Pasco.....impact ipo. Mind you these countries.....speak the same language....which means given the chance and a conducive environment....mtapewa za uso TU.....rejected in several international aspects. Kumbuka , intention ya Maalium na CUF sio military intervention but to expose...
  10. N

    Kilio cha Maalim Seif chafikishwa UN

    .....lazima ukurasa mpya wa siasa africa ufunguliwe
  11. N

    Sasa nimejua kauli kutoka juu huwa zinatoka wapi

    Mkulu hana rafiki zaidi ya mwigulu na nape?........as far as UN General Assembly is concern
  12. N

    Ujumbe Mzito wa Viongozi wa CHADEMA, Wafanya ziara ya kikazi ya siku 7 nchini Ujerumani

    bora waende huko ......maana wao ndio waasisi wa hizi nchi za kiafrica
  13. N

    Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

    Ben hawezi kudanganya ili kutafuta kick, kuna kitu, haya maneno sio bure. Hizi ni sign za uongozi uliofikia climax na sasa unaelekea kuporomoka.
  14. N

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    aache kufanya kazi za katibu kata, tunahitaji ajenge mausiano bora ya kimataifa ktk sekta zote muhimu nchini
  15. N

    Rais Magufuli: Tetemeko halijaletwa na Serikali, watu wafanye kazi

    Hizi pesa za msaada zinaweza kusaidia kujenga airport chato
  16. N

    Rais Magufuli yashamshinda?

    Ndo maana yanamshinda
  17. N

    Rais Magufuli yashamshinda?

    anaongoza serikali tajiri duniani
Back
Top Bottom