Humu nako kuna watu kazi ni kuwashambulia watu wengine, mtu mmoja (Dilunga) kamshupalia Zitto. Kwani kuchunguzwa ajabu ni nini au ulitaka Zitto asichunguzwe ,we mtu gani husiyeweza kufikilia uchunguzi anaofanya Hosea ni wa kufa na mtu hata kama yeye hataachia kiti lakini huwenda akamtetea mtu...
wachangiaje wengine wana based katika udini badala ya ukweli. matatizo ya uchaguzi yapo mpaka bara na ni njama za chama tawala katika maeneo ambayo hakiungwi mkono.
Naona wakristo wa tz wanatukana sana waislamu wa tz! Cha muhimu ni kujiepusha na ushabiki wa kidini usiokuwa na msingi.Ila itakoma yenyewe kama one day ikatokea Tanzania nina uwakika kuhusu hilo naomba allah atuepushe.
Always watu ambao wamekutana na matatizo ndio ambao wanayachukia matatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.