Search results

  1. M

    ACT Wazalendo: Kauli ya Rais Magufuli ni vita dhidi ya demokrasia na uhai wa vyama vingi nchini

    Hata kwenye nchi tunazoziita za kidemokrasia, siasa za mitaani utaziona wakati wa kampeni na uchaguzi, kipindi cha uchaguzi kinapomalizika siasa zinahamia kwenye mabaraza ya madiwani na bungeni. Inashangaza Tanzania siasa na maandano ya kila siku kuwa sehemu ya ajira kwa mwanasiasa.
  2. M

    Nini kimemsibu binti Karume?

    Uchaguzi umeisha, amerudi kazini anaendelea na maisha yake, atarudi tena kwenye siasa kipindi cha uchaguzi 2020.
  3. M

    Wabunge wa CCM wanaoipinga bajeti watakiwa kurudisha kadi za chama

    Nadhani wanaosema ni Udikteta kuwaambia wabunge wanaotaka kukwambisha bajeti kwa maslahi yao binafsi hawajui wanalozungumza. Wabunge wanaruhusiwa kuhoji serikali na kuchangia bajeti ikiwemo kuipinga kwa ajili ya kuiboresha kwa maslahi mapana ya taifa, na sio kuikwamisha kwa maslahi binafsi kwa...
  4. M

    Katibu Mkuu wa Wizara anaruhusiwa kupigiwa salute, kukagua Gwaride na kufunga mafunzo ya majeshi?

    Katibu mkuu wa wizara ya mambo ya ndani, ndio mkuu wa utumishi wizarani, yaani idara zote zilizo chini ya wizara yeye ndio mkuu, hii achilia mbali wadhifa wake kijeshi ni Meja Jenerali.
  5. M

    Kuna watu waliowahi kukataa uteuzi wa Rais?

    Sio mara zote mteule anapewa taarifa, kuna teuzi nyingi tu ambazo mteule anasikia jina lake kwenye redio au televisheni.
  6. M

    Kuna watu waliowahi kukataa uteuzi wa Rais?

    Aidha alikuwa mwalimu UD au Msajili wa Mahakama kuu. Baadae alipoteuliwa alikubali kwa vile mzazi wake alishafariki ambayo ndio msingi wa kukataa uteuzi wa kwanza kujipa muda wa kumuhudumia mzazi wake.
  7. M

    Kuna watu waliowahi kukataa uteuzi wa Rais?

    Hii ilikuwa kipindi cha Rais Ali Hassan Mwinyi.
  8. M

    Kuna watu waliowahi kukataa uteuzi wa Rais?

    Makongoro Nyerere pia, alikataa ubunge wa kuteuliwa kwenye serikali ya Mzee Mkapa.
  9. M

    Kuna watu waliowahi kukataa uteuzi wa Rais?

    Marehemu Jaji Mkude alikataa uteuzi wa kuwa Jaji wa mahakama kuu zaidi ya mara mbili, na sababu kuu ilikuwa afya ya wazazi wake ilihitaji uangalizi wake wa karibu sana, asingeweza kutimiza majukumu makubwa ya nafasi ya ujaji katika hali ile.
  10. M

    Gharama za Wakili kwenye mauziano ya Nyumba/Kiwanja

    Salamu za mwezi mtukufu ndugu zangu. Naomba kuchukua nafasi kuulizia kwa wale wenye uzoefu, kuhusu malipo ya wakili pale unapotaka akusimamie mkataba wa mauziano ya nyumba, kuna kanuni yoyote katika upangaji wa malipo kwa wakili anayesimamia mauziano?
  11. M

    Mabadiliko makubwa katika siasa za Tanzania

    Ulipotaja jina la ENL, Kingunge, Mgeja na wengine kama sehemu ya watu wanaowakilisha kundi la CCM asili, andiko lako zima limekosa mantiki. Kwa kukusaidia tu, rudi kasome kuelewa historia, msingi, kanuni na imani ya chama cha TANU na baadae CCM kwanza kabla hujaja na kutuelea Lowassa...
  12. M

    Zitto Kabwe Leo atafikishwa mbele Ya kamati za maadili kujibu mashitaka yake

    Sijaona mahali Zitto anashtakiwa au kuitwa kwenye kamati ya maadili kwa sababu ya msimamo wake wa kupinga Bunge kuonyeshwa live. Anaitwa kuhojiwa kwanini ameonyesha dharau na kupinga mamlaka ya spika. Utovu wa nidhamu ni utovu wa nidhamu, hauna uhusiano na msimamo au imani ya Mbunge. Aende...
  13. M

    SSRA walipa pango bilioni 600 kwa mwaka (Gazeti la Mtanzania)

    Hii ndio product ya waandishi wa voda fasta, cha kushangaza waandishi kama hawa wanatakiwa kutumbuliwa na vyama vyao wenyewe kwa sababu madhara wanayosababisha kwa watu ni makubwa, lakini wamekuwa wakitetewa kila siku na vyama vyao bila kuangalia uwezo wao kitaaluma na kimaadili.
  14. M

    Utumbuaji Kanisani: Magufuli ni mkatoliki asiyejua "Roma locuta, causa finita"!

    Bila shaka wewe ndio haufahamu utaratibu wa uendeshaji wa kanisa. Mchango unaotolewa kwa sababu fulani unaweza kuhojiwa na mtoaji wa mchango kama ulitekeleza kile alichochangia, na kimsingi kama muumini anaweza kutumbua uongozi wa kanisa kupitia Baraza na Walei parokia. Kisichoweza kuamuliwa na...
  15. M

    TUHUMA ZA RUSHWA BUNGENI: Wabunge Kangi Lugola, Victor Mwambalaswa na Sadiq Murad waburuzwa mahakamani

    Wabunge Kangi Lugola, Sadiq Murad na Victor Mwambalaswa wamepandishwa mahakamani Kisutu kwa tuhuma za rushwa.
  16. M

    Tanzia: DR Eliezer Chiduo Wa Chuo Kikuu Dar es salaam, amefariki Dunia

    Wilaya ya Kilosa na Mkoa wa Morogoro umepoteza msomi mahili na mzalendo asiye na shaka. RIP Dr Chiduo.
  17. M

    Rais Magufuli si rafiki wa vyombo vya habari

    Mkuu unapozungumzia Mawaziri wawili ndani ya wizara moja ni tofauti na kuwa na mawaziri wawili kwenye wizara mbili. UNapozungumzia Wizara unazungumzia Makatibu wakuu, wakurugenzi , wakuu wa vitengo na wafanyakazi. Ni rahisi sana kuwa na mawaziri wawili kwenye wizara kuliko kutengengeza wizara...
  18. M

    TANZIA: Katibu wa CCM Ilala afariki Dunia

    RIP kaka Tito, Songea inakulilia, Dar Inakulilia na Tanzania inakulilia. Umeondoka bado kijana huku Taifa likiwa na mategemeo makubwa kwako. Nimeumizwa sana na taarifa za kifo chako, kwani si muda mwezi uliopita tulikuwa wote Dodoma na kunishauri vingi. Bado nakumbuka siku zile tulipokuwa...
  19. M

    Historia ya Wimbo wa Taifa wa Tanzania na mtunzi wake

    Wafinish wana wimbo unaitwa Maame laullu umeandikwa na Enoch Sontonga, sasa sijui tukusaidie nini, au nini unachotaka kutuambia.
  20. M

    CHADEMA na UKAWA, majimbo ya Morogoro Kusini Mashariki na Morogoro Kusini Magharibi yapo wazi

    Maradhi ya mumewe na Mh Mbega yana uhusiano gani na kukosa ubunge kwa mkewe?
Back
Top Bottom