BINAFSI JANA MMOJA KANIKAMATA. MAONGEZI MAREFU YA KIJIONGELESHA NIKAWA NIMESHACHOKA NAE NIKAMWAMBIA SIKUELEWI NAOMBA UNIANDIKIE FAINI NIONDOKE MAANA HII NI DAR SIO LAZIMA NIKULIPE HAPA. AKAANZA UNANICHAGHULIA ADHABU YA KUKUPA BASI NIKUFUNGULIE MASHTAKA.
Cv yake mie nimeingalia hata siielewi. Design hapo kati kwa miaka kadhaa alikuwa amesimama bila maendeleo ya shule wala kazi. Huenda ndio alikuwa anakariri mistari ya bongo flavor anayoiabudu kuliko mashujaa wetu
Wewe na mleta mada mnafanana huelewa . Kwanza kumuacha bila usalama kunaweza kuwa ni risk hata kwa wengine wanaomzunguka.
Hii haki mnayoitafuta muwe mnaangalia na background zenu.
Mkoa gani huo ? Honestly mie sikuwahi kujua mtu hapo... All I did is to follow the process... Na nikapata passport yangu ontime kuliko nilivyotegemea. Hiyo ni hapo makao makuu Dsm
Ni vyema sie tumeliona tatizo, wenye ufumbuzi karibuni sana
Kuna Prof mmoja wa UDSM( sitaki kumtaja lkn ni mzee mmoja anafundisha hadi hivi vyuo vya Ardhi na MUCHs) siku anatoa intro kwa first year ya commucation skills alisema anafundisha english kwa sababu waliona english bado ni shida sana...
Salamu kwenu
Baada ya kumsikiliza mh Livingstone Lusinde akimwaga hotuba yake, kilichoniijia akilini ni kwamba kweli hizi communication skills tunazofundishwa Vyuoni ndio zinapaswa kuwa hivyo.
Binafsi nimesoma Ardhi wakati ikiwa uchini ya UDSM na Prof Maarafu wa UDSM alikuwa anafundisha pale lkn...
Jamaa ni boga kabisa, yaani hana heshima kwa akina mama na watoto waliokuwa hapo. mikutano kama hii watu wanaudhuria na wakwe, mama , baba hata nawatoto. alafu yeye kwa ufinyu wa akili zake anapewa mike kumwaga *****
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.