pole sana kwa maumivi upatayo kwa kweli I have z same problem nimemaliza dawa zote cjapata afueni Ila Kama una amini dawa za natural ni bora maana Mimi natumia mdalasini wa unga nusu kijiko cha chai changanya na asali safi weka Tia warm water nusu glass kunywa asyubuhi b4 hujala kitu chochote...
Kisheria ninavyokumbuka wakati mimi nikifanya kazi in 1970s-1980s mtu akifungwa automatically anaachishwa kazi kama alikuwa mfanyakazi labda kwa serikali ya JK mambo waaaahhhhhh ikiwa anampigia debe Lowassa je kwa Rage is ok for them..... what a shame!!!!!
Bora CCM waondoke tumeshachoka nao...
Kweli kabisa maneno yako "mfa maji haachi kutapatapa" mimi nilikuwa mfanyakazi zamani nawaungeni mkono kuwa msimamo wenu huo huo mpeni kura mwenye imani na uchungu wa wafanyakazi sio propaganda kama za msanii wetu na dharau kubwa na kejeli hana lolote
what goes around comes around.
kila aliye changia kwa njia hii au nyengine insha-Allah Mw. Mungu atalipa hapa hapa duniani akhera kwenda hesabu Amen duh hatari jamani tusiombe yatokee tena mwaka huu 2010!!!!!!!!
Eh moyo unaniuma, damu inanichemka kuona akina mama wenzetu wanavyopata tabu. Mungu tunakuomba msaada wako kwa kila jambo Amin
It's a shame kwa serikali yetu kwa mambo kama haya.
Mimi huwa nashangaa na kujiuliza hivi hawa viongozi wa serikali wanapofanya ziara kwenda nchi za wenzetu na...
Insha-Allah kheri tunayo omba kila siku kwa Mola wetu lakini wasiwasi wangu jee hawa CCM na SMZ ni wa kweli? Isiwe yale yaleeeee ya kina Makamba changa la macho!!!!!! kwa msemo mwengine kuchezwa shere!!!!!
Kwa kweli vita c vizuri tukiangalia sote ni ndugu
Kweli 2mechoka kuckia habari za Sophia Simba, Mafisadi etc. - 2nataka kuckia vp mabadiliko ya Tanzania ye2 njema yatapatikana.
Nchi za wenze2 zinaendelea kwa kushikamana ye2 ni kupashana na kuiba aaaaagh 2mechoka 2nataka mabadiliko na maisha mema kwa nchi ye2 na vizazi vye2
Hongera Mwanakiji na wengine wote kwa kweli shairi yenu ni mazuuri kusoma na yana ukweli ndani yake.
Mapambano continua. Watz can make changes - yes we can
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.