Search results

  1. K

    Rais Dr John, mama Janeth na Marry Majaliwa washiriki misa ya X mass. St Peter DSM

    Ukiangalia desk au dawati la nyuma la magufuli 99% ni watu wa usalama, kwa hiyo hayuko peke yake na pande nyingingine watu wa usalama wamejichanganya na waumini
  2. K

    Rais Dr John, mama Janeth na Marry Majaliwa washiriki misa ya X mass. St Peter DSM

    aat Ukiangalia desk/dawati letu la nyuma yake waliokaa hapo ni watu wa usalama 99%..
  3. K

    Msaada: WhatsApp imegoma kwenye simu yangu aina ya Tecno

    Ans: mkuu ingingiza kwenye google search engine/ you tube hili swali" ERROR RETRIEVING INFORMATION FROM SERVER.(RPC:S-7: AEC-7 MAQ4-ORVH-ESG4Y" ita kudirect on how to solve it with a video aid showing you step by step. Success.
  4. K

    Rais Kikwete ahojiwa na CNN kuhusu ujangili

    Unaweza kuangalia mahojiano hayo kupitia link hii ifuatayo: Tanzania’s Blood Ivory: “This is madness now” – Amanpour - CNN.com Blogs
  5. K

    Hivi Ni kweli alipokuja Mandela Tz alipata mapokezi makubwa kuliko Pope John Paul 2 au Obama?

    Lakini wabongo tunapenda mambo ya kudakia dakia bila kufuatilia kilicho-ongewa kwenye hotuba, mambo ya lyatonga, mapokezi ya mwili wa marehemu nyerere, hayahusiana na tamko katika hotuba, amesema katika viongozi wa mataifa ya kigeni!! Hebu sikiliza kwa makini hiyo hotuba mkuu.., take it easy!
  6. K

    Naomba anayejua Advocate/ Lawyer Office wa kuaminika kwenye kesi za ardhi/ viwanja

    Nahitaji wote ili nikishaongea nao nitafahamu yupi atakaye nifaa, nashukuru sana kwa response yako mkuu..
  7. K

    Naomba anayejua Advocate/ Lawyer Office wa kuaminika kwenye kesi za ardhi/ viwanja

    Wana JF, Kwa yeyote yule anayefahamu lawyer au advocate offices za utetezi hususan waliobobea kwenye sheria za utoaji Ardhi/ viwanja. Nitashukuru sana, maana nataka kudhulumiwa kiwanja changu.
  8. K

    Mzee wa uda nae alikuwepo!!

    Mkuu hapo unaenda mbali...ukumbuke Rais ni binadamu kama wewe ana imani yake na wageni wake, na sherehe zake, kama misingi ya sheria inamruhusu kufanya hayo..kuna tatizo gani?
  9. K

    Serikali yakanusha 'kujiuzulu' kwa Magufuli

    Nawe pia umekosea kiswahili sio lugha yenu?? au..? Ni kujiuzuru...tizama kamusi...
  10. K

    Serikali yakanusha 'kujiuzulu' kwa Magufuli

    Nawe pia umekosea kiswahili sio lugha yenu?? au..? Ni kujiuzuru...tizama kamusi...
  11. K

    Serikali yakanusha 'kujiuzulu' kwa Magufuli

    Nawe pia umekosea kiswahili sio lugha yenu?? au..? Ni kujiuzuru...tizama kamusi...
  12. K

    MAPICHA ya T-Pain na “Gyptian” STR8 Muzik Festival katika Inter-College

    MKUU MBONA AMENYUTI KAMA KIBOZIANA BOZIANA...huyu mwenye kapelo, au unasemaje??...Maana mzee BOZI naye katua hapo bongo...
  13. K

    Misemo ya kichaga!

    Nashi sha! Terambiko mrandi!!....
  14. K

    Anne Semamba Makinda's Profile!

    Hii ni kali mkuu...no doubt!
  15. K

    Watanzania ughaibuni

    Jaribu kufanya utafiti wa kina kabla hujakurupuka kuandika story/habari ambazo hazina maana...kwa short thinking zako zimekutuma kuandika vitu visivyo na mantiki...watu walioenda asilimia kubwa ni kihali, na kuna wengi ambao wametoka kwenye familia za kawaida kabisa, wanaishi ,kusoma na kufanya...
  16. K

    Watanzania ughaibuni

    Wivu wa nyoka huo mkuu...maneno ya mkosaji na hasira za majungu....huwalishi, hujawalipia nauli, huwajui, hawakujui...focus on your miserable life....
  17. K

    Michezo mengine kina dada acheni tu...aaahhh!!!

    Ah!!! CHAKULA WATU HAWALI USIKU TU....mbona unataka kuwachanganya watu...:smile-big:
  18. K

    Hivi wasukuma ugali lazima?

    Carbohydates, inajenga mwili na kuongeza nguvu, kwa kutengeneza energy ya mwili..na carbohydrates,inapatikana kwenye vyakula vya wanga,sukari n.k...maize meal is excellent energy provider, husaidia sana shughuli zote zinazohitaji nguvu.. ....nguvu kazi...
Back
Top Bottom