mkuu wapi palipoandikwa kurasini?. bandari inaanzia posta ya zamani. Btw hizi ziko sokoine drive ni barabara ya kuelekea railway station au waterfront. kama ulikua unahitaji fremu kwa ajili ya biashara karibu.
mkuu naifahamu hiyo should ziko kigamboni tungi kwa masista au tungi soko maziwa. namba ya mwalimu ninayo ila nashindwa kukupa kwa sababu maelezo yako hayajitoshelezi mkuu.
mkuu kulikua hakuna haka ya kuwaponda wasomi.
labda hutambui michango ya wasomi kwenye Tania nzima ya sanaa na maisha ki ujumla.
diamond au kusaga wanapoumwa watahitaji kutibiwa, nani atawatibu kama sio madaktsri wasomi?.
akina ruge na bwana diamond watakapo hitaji kusafiri watahitaji...
Habari za kazi wana bodi,
Napenda kuwapa habari njema kwa wale wote ambao hawapendi ama hawawezi kutumia sukari
Kuwa asali mbichi na original kutoka Tabora, inapatakina katika kiwango cha hali ya juu.
Ukiagiza asali kutoka kwangu unaletewa hadi mlangoni kwako kwa wale walio maeneo ya mjini Dar...
"Blogs has the ability to loan peoples time and attention by putting readers at the heart of the solution".
kuna blog za aina tofauti kulingana na budget yako
Kuna self hosted na zile ambazo ni free hosted mfano
free hosted ni zile zinazoishia na .blogspot.com
na self hosted ni zile za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.