JF siku hizi hakuna critical thinkers hivi tatizo ni wafanya kazi wa Tanesco au powerfull external interests zinazonufaika na hii crisis za electricity shortages
Gvt naipongeza sana kwa hii move hongera wazri Nape pamoja na kuwa business licence ya NMB
ni Banking lakini digitization ktk most Banks ni very advanced na efficiencies na effective yake ni ya hali ya juu sana kuliko ktk taasisi za Gvt.
Ktk Banking kuanzia wateja wakubwa Corporate and...
Hivi sisi watz investment ktk football tunategemea kupata matokeo mazuri hicho kitu hakipo tusilaunu wachezaji makocha uwekezaji wa long and medium terms huko chini sana angalia kocha kama wa Zambia aliwahi kuwa kocha wa Chelsea hawa akina Mgunda tunawaonea tu
Huyu kocha sio mzuri sasa nimemuelewa Karia kwanini hakuwatoa players waliokuwa na risks za red cards mapema
Pili pamoja na kuwa Samatta hakuwa ktk kiwango kizuri alitakiwa acheze 99 minutes sababu alikuwa anakabwa na wachezaji wawili.
Huyu aondoke Hafai kabisa
Ni ukweli ulio wazi ingawa JPM alifanya jambo zuri sana kuanzisha na kutekeleza mradi huu mkubwa ambao utasaidia sana iwapo hakuta kuwa na upungufu wa mvua.
Lakini Dunia ya sasa inakabiliwa na tatizo kubwa sana la Climate change sababu ya kuongezeka kwa hewa ya ukaa ambayo inapunguza ozone...
Mkuu fanya utafiti kwanza ingawa deni la USA ni kubwa kuliko GDP yake lakini still kuna mataifa mengi yana hali mbaya sana kuliko USA.
Funding of wars across the world ndio imechangia kiasi kikubwa.
Kweli watu wanahitaji elimu sana kwenye lishe bora, siku hizi vyakula vingi tunavyotumia sio balanced diet.
Mijini imekuwa fashion siku hizi kuku wa kukaanga na mishikazi ya kukaanga na chips mafuta yanayotumika pamoja na kuwa low quality yanakuwa overused mpaka yanakuwa meusi sana.
Haina ya...
Concept ya intern hata TZ inatumika sana maelfu ya vijana wanaingia maofisini temporary hata kijana wetu akienda nchi nyingine akakutana na huu mchakato kuna ubaya gani akipitia basic mandatory military training kama JKT na Gvt inajua na akirudi nyumbani anakuwa multi skills na kulinda nchi yake...
Nilisoma kuwa D P World wataanza kuset up mifumo yao tarehe 1st November 2023 ndio hiyo imeanza kujibu mapema alignment ya TRA na Port ktk number ina reconcile kama hi ndivyo Kongole Samia SH
Tax to GDP percentage bado tuko kwenye 11% wakati South Africa, Botswana, Namibia wako 20% inabidi tuzidi kuboresha efficiency ni mwendelezo mzuri so far Kongole TRA
Tanesco na upungufu wa umeme Tanzania ni kero kubwa sana.
Nchi sijui inazalisha megawatt 1700 wakati kenya na Zambia
zinazalisha around 3000.
Na nchi nyingine ndogo Africa zinatekeleza project za kuzalisha above 10,000 megawatts.
Tuna vyanzo vingi vya umeme geothermal Wind Solar Uranium gas...
Nionavyo sio rahisi kihivyo kwa external intelligence ya Israel Mossad kuwa na massive failure kama hii.
Shambulio hili limefanywa na wapigaji wengi equipment nyingi Mosad na CIA wana agents wao almost to all of their top enemies.
Kuna jambo ambalo ni lengo lao kuu wanataka kulitimiza...
Watanzania uwezo ni mdogo mdogo sana wa kufanya tafiti hata ndogo ndogo na kujua nini kinaendeles kwa biggest oil producers na other key players ktk oil wanalaumu na kutukana wasio na makosa.
Hii scenario ya world recession iliandikwa sana mwaka jana kwenye international na some local media...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.