Nyerere:The best president ever
Mwinyi:Aliuza madawa ya kulevya na wife wake,ni kilaza tuu,alitaka kuifanya tanzania iwe uNITED iSLAMIC rEPUBLIC oF tANZANIA,hana vision,kauza loliondo kwa waarabu mashemejize,aliua azimio la arusha akiwa zanzibar,alikuwa kivuli cha rais,hana sifa za kuwa rais...
Mleta hoja umejaa vioja!
Upo chuo cha MUM?
Mlalamikaji alisema mishahara inatolewa kwamisingi ya udini?
Huyo msilamu aliye na cheo cha kugawa fedha za mishahara anatumia rungu lake vibaya,anawapendelea wajahedina kuliko wagalatia.
Top brass yote hapo UDOM ni urafiki kati yao na JK, MKAPA yupo...
Mnatuonea jamani kinadada
Ninyi ndiyo kiini jamani, mnajiachia sana jamani,sikuhizi wadada wanatongoza wanaume bila aibu.
Unakuta binti anaacha paja zuri kabisa na chuchu zake maridadi kabisa nje nje, mwanume lazima utamani.
Kiini cha mabadiliko ni wanaume na wanawake pia.Kila mmoja akiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.