Hello wana jamii, sio masihara jamani hapa najua wote ni watu wazima na wenye akili timamu.
Wasifu wangu.
Jinsia-Kike
Umri-29
Elimu-ya chuo naamanisha graduate
Rangi-kahawa
umbo-No 8 mnene
Dini-Christian
pombe-naonja
kabila-chaga
Ni mwajiriwa kwenye sekta binafsi na mshahara wa kawaida, mambo...
Hello wana JF,
Happy new yr,
Kuna rafiki yangu wa kike jina z kaachana na mchumba wake, sasa imekuwa tabu kweli huyo mwanaume anamtangazia vibaya dada wa watu eti ohooo demu kicheche nk, sasa nauliza hivi nyie wanaume wenye tabia hizo kwani kuna ulazima gani wa kuanza kumsema vibaya x wako...
My dear, hii kitu imenikuna coz am speeking from my experience, huyo jamaa aachane nae haraka sana, yani akimbie mbio ni ngumu but inambidi isee acha kabisa hawa wabeba mabox ni soo, achilia mbali kuoa vizee pia inawezekana kampata mbongo mwenzie mwenye green card, we nakwambi hakuna wapenda...
Hodi hodi jamani wanajamii nipokeeni maana mie ni mgeni humu wa kuchangia ingawa ni msomaji sana hii site long time, Nadhani mmenipokea kwa mikono yote,
TUwe wakweli mapenzi bila hela au gari au chochote kama nyumba ni BIG NO, basi kama huna kabisa hata voucher!! dunia ilishapinduka long time...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.