We 🦧aliyewatuma kwenda kuua kwenye festival oct 7 nani?
Nishakwambia kale urojo ulale Nyau we.
Gaza ipi unaongea hiyo ishabebwa kitambo,
Wako Rafah huko mpakani ndugu zenu hawawataki vilevile muingie kwao.
angalia taarifa idadi ya jana toka ijumaa.
Mkishiba daku mnajiona wajaanja.
Mapunguani...
We bwege kweli kweli ,ina maana hujui kwamba hao wajinga wenzio walienda kuchukua mateka na kuua huko kwa wazayuni?
Ushafuturu?maana labda nabishana na mtu hajala
Hii kitu mtu hujui unapataje,
Siku hizi mi afadhali nionane na ma x wangu tu najua huwa wako very care.
Hawa makurumbembe mtaani nimeacha kabisa.
Maradhi nje nje.
Nilipigwa kitu mgando nikakoma.
We ali wazi usituletee upumbavu hapa.
Meli 73,wakati hazipiti huko.
Na hao wajinga wanatafutiwa dawa watalia sasa hivi.
We nenda kale urojo ukanye ndo kazi mnaweza.
Toa upuuzi hapa.
Sawa kabisa,
Huwa nakaa kwenye Bus tu masaa 24.mle ndani kuna umeme,wifi,choo,
Safari hiyo kwa ndege ni masaa mawili tu.
Ila mle nakua nimefanya kazi zangu,nimelala kupumzika nimepiga ulabu,safari inaendelea,na huko unaenjoy mazingira sana ya vijijini.
Kuna siku nimeona watu wanakimbia kuchukua...
Wanakatiza Mbeya, Iringa then mtera,Dom hao Babati kwenda mbele huko wanapotea mpaka South.
Kuna jamaa alitoka na pikipiki London mpaka Cape town wiki moja.
Google "long way down"
Kapita kote hapo bongo. Rwanda,Malawi, Botswana, Morocco,.
Mpaka kafika yule mwamba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.