Sasa hayo ni makubaliano yako mchimbaji na mwenye leseni.
...NI UTARATIBU MLIOKUBALIANA
Na wewe tafuta LESENI yako 100% ...uchimbe hakuna mtu atachukua % yoyote kutoka kwako isipokuwa Kodi halali ya Serikali.
Ofisi ya Rais SA imekanusha kuwa SA inataka kujitoa ICC.
..matamshi ya Rais yalikuwa maoni yake na sio ya Nchi au ya ANC.
Afrika Kuna shida ya afya ya akili kwa Viongozi wake
Ndugu yangu, inahitaji AKILI nyingi na MAONO ili kuwafikia Walio Dunia ya kwanza.
Hatuna uwekezaji wa maana kwenye AKILI za watu wetu ndio maana licha ya MALIASILI tulizonazo bado Shule Hazina vyoo, Wananchi wanachangia maji na wanyama, Wanafunzi wanakaa chini na kuandikia chini, wengine...
Waungwana_
Nchi hii inatafunwa na walamba asali
..hili soko la machinga Dodoma ni uhuni na ufisadi tupu
... taarifa za awali gharama ni 9B
CAG afanye special audit (VALUE FOR MONEY)
Kodi zetu zinatumika isivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.