Naona kuna nyingine pale Ilala boma imeshajengwa nafikiri bado kufunguliwa tu,ila kutakuwa na matabaka sana madarsa ya zamani wasome wa kidumu na mfagio na hii mpya wasome wale kulipia ada
Ondoa shaka katika ilo,subira muhimu sana,kila mtu ananyakati zake alizopangiwa kupata jambo lake.....Mie nilioa mwezi wa nane mwishoni, na nikajaariwa kupata mtoto mwezi wa 6 wa mwaka unaofuata
ungezitupia hapo juu chini ya maelezo yako ingependeza sana kujitangaza,na kama itakupendeza ungetaja na bei zako ama na kusema wateja wakwanza unawapa offa ya kiasi fulani cha pesa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.