Search results

  1. wabara

    Elections 2015 Uchaguzi CCM: Mambo matano mabaya Magufuli akiwa rais

    Shukraan na kwa kiasi kikubwa nakubaliana na mitizamo yako juu ya uloyaandika /yasema ! Ahsanta na nitarejea kwa machache/changizi kwayo loyasema hapo juu ! Shukraan.
  2. wabara

    Elections 2015 Ushauri wa Bure Kwa Lowassa: Kwa Vile ni Magufuli, Kubali Matokeo, Vunja Kambi, Jisalimishe!

    Hapa pia pana mengi mno ya kuyanyambua ! Mkuu Pasco pole kwa kuunga mkono japo ulifahamu litalokupateni na saahib wako bwana Edward N Lowasa ! Ahsanta kwa kukutana baada ya muda mrefu !? Sasa shughuli imekamilika na yafuatayo/ifuatayo ni uondoshi wa madhaifu ndani kama 'unafiki' taekwa...
  3. wabara

    Bila Nyerere, Abdulrahman Babu angeuawa Zanzibar - Ashura Bilal

    Hapa pia pana mapana yake ya kuchangia mnaaqasha hunu!
  4. wabara

    Uhuru wa kuabudu ni usumbufu kwa wasiowaamini

    Kazi bado ni ngumu hapa ya kukufahamisheni! Hakuna apingaye maneno hayo, walaakini nakhisi yakustahiki kuupanua ubongo wako na kujua logic ya mambo au metosheka na ufahamu ulonao !? Haya naendelea na subra huenda ikawa ukazinduka!
  5. wabara

    Uhuru wa kuabudu ni usumbufu kwa wasiowaamini

    Hapa jirani yangu pana Kanisa na sasa hawa si kwamba ati wapiga mikelele yao asubuhi, laa hasha! Yaani niandikavyo muda hunu, mikelele ni hadi asubuhi na ni yao ada! Daah! Sasa tuwaiteje wao !? Na kelele zao hata za vyura zinaeleweka! Yaani hawa kulla mmoya husema la kwake hapo hapo...
  6. wabara

    Uhuru wa kuabudu ni usumbufu kwa wasiowaamini

    Kweli mwataka tuaminisha ati huo ndo mwisho wa upeo wa ufahamu wenu sio !? Basi kama kweli ndivyo, huyu Kikwete astahiki pongezi kubwa mno juu yenyu waingozwa! Daah! Nitajaendelea amini kuwa Taifa hili bado lina wale wa kubadilishana "Almasi kwa kioo" ! Msiba huu hautuishi leo! Haya nipo...
  7. wabara

    DAY 2: Updates za mgomo wa madereva wa magari Tanzania - Mei 5, 2015

    Wamaanisha kabisa kuuharibu huu mjadala au upo kimzaha !? Huyo Nyerere na Mkapa ni lipi lenye maana walilotusaidia/ kusaidia hadi utuaminishe ati wanastahiki hayo maneno/ sifa ulowageiya !? Yule Nyerere aliposema "nang'atuka" alikimaanisha nini /ni zipi sababu za kumng'atusha !? NB...
  8. wabara

    Siri ya Malkia Elizabeth wa Usikochi (UK), Kanisa Katoliki, Nyerere na Uhuru wa Tanganyika

    Khabari za siku ! Nipo hapa kipembeni najaribu kupitia changizi za wana Barza hapa! Alhabiib Mohamed Said tarikhi /historia aitoayo hutuekea na reference/s kitu ambacho kwa sahib yako Yericko Nyerere hajakifanza au weye mwanziwetu mebahatika pata japo sahifa moya ya wapi tukajirishe khabari...
  9. wabara

    Siri ya Malkia Elizabeth wa Usikochi (UK), Kanisa Katoliki, Nyerere na Uhuru wa Tanganyika

    Nimejaribu kuwa msomaji na kukufuatiza kunako changizi zako, hakika nimesikitishwa na dhereu na kejeli ! Katika Minaaqasha /mijadala ya wanataaluma kwa namna ujioneshavyo ni kama wapwaya kabisa ! Wapaswa ufahamu tafauti kati ya malumbano na mijadala ! Hakuna jambo jema kama kuwa na staha...
  10. wabara

    Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

    Weye takuwa ni Muishi Lamu na si Muislaamu ! Hakuna dhambi mbaya kama Unaafiq, kwanza ufahamu kuwa Uislaam hauna haja na weye, bali weye ndo una haja na Uislaam ! Hakika mekupendelea mno, na tokamana na yayo, nakugeiya cheo cha MKIZI ! Nipo kipembeni hapa nakusubiri.
  11. wabara

    Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

    mr gentleman , Maamkuzi yanayokustahiki yakufike ! Mekufuatilia kutafuta vijipengele vyako japo kiduchu vya huo ujivikao ati Uislaam ...!? Hakika sijapata japo hisia zako bali kama mekitwa na ile tabia ya abdallaah Bin Saluul kama kweli weye ni Muislaamu ! Na khalafu, hao/ wanafiki...
  12. wabara

    Mohamed Said, Mashujaa walikuwa "wazee wako" tu?

    Prof wako /wenu katia adabu kwa Almuhaddithu Mohamed Said! Na sasa ajuta na makurupuko yake...! Pamoya na huo u-prof wake hoyo bwana Karim F Hirji , mie namsikhi /namshauri "haya" aziondoe na kwa Mzee /Mtaalam /Muhadith wa History Muhammad Bin Said ajongee na akapige "goti" ajuzwe yale...
  13. wabara

    Mohamed Said, Mashujaa walikuwa "wazee wako" tu?

    Ntakujibu nikajaalika kukukumbuka, endelea na kujifunda kwa walokuzidia maarifa ..!
  14. wabara

    Mohamed Said, Mashujaa walikuwa "wazee wako" tu?

    Daah ! Kweli viumbe wa Mungu wanakhilaafi nyangi ziso kifani....!? Huyu naye kaja na lake lomsibu....!? Sasa pale pale Maktaba /kumbukumbu ya Taifa hupafahamu ....!? Hata kama upo mbali na Dar es salaam, kama unayo haja/ nia ya kuyafahamu hayo, gharama sizikhofu jikusanye na jongea pale...
  15. wabara

    Mohamed Said, Mashujaa walikuwa "wazee wako" tu?

    Ngongo Tia stahamala kwa walokutangulia umri japo kwa dharura au pia wapata kiza ....!? Dhereu si pahala pake na ukomavu wa busara, nakutaragi ulete mbadala wa kile ambacho chasomwa na Ulimwengu kukhusiana na tareekh/ History ya Tanganyika kupitia kwa Mohammed Said ...! Mangine mjaribuyo...
  16. wabara

    Mohamed Said, Mashujaa walikuwa "wazee wako" tu?

    Alhabeeb THE BIG SHOW, .... Assalaamu alaykum warahmatullaah, Mefurahika mno kutana nawe hapa kibarabarani pa kubadilishana fikara ....! Kilma chako chakubalika akilini mwangu pasi na utata kattu...! Nipo kipembeni hapa nakusomeni kwa undani mno Waalimu zangu. Ahsanta !
  17. wabara

    Mohamed Said, Mashujaa walikuwa "wazee wako" tu?

    Jaribu kuandika nawe hata mistari mitatu /minne ya historia ya hapo uishipo ...!? Walijaribu ati kutaka fanza mnaaqasha hao wapotofu wa staha/ stahamala akina Yericko Nyerere na kijikundi chake juu ya ati rududi ya Alhabeeb Muhammad Said walaakin majawaba yao soote tuliyashuhudia...!? Na kwa...
  18. wabara

    Mohamed Said, Mashujaa walikuwa "wazee wako" tu?

    Udini ni nini ...!?
  19. wabara

    Mohamed Said, Mashujaa walikuwa "wazee wako" tu?

    Hapana weye siandike ya hapo ulipopataja ! Kwani leo hupataki tena kwenyu pale Mwitongo au zijana za Madrasa walikuvua nguo baada ya kuubainisha uhalisia wako kwamba huna hata chembe /nasaba ya yule nyerere "mkatoliki Safi" ...!? Nipo kipembeni hapa nakusubiri.
Back
Top Bottom