Hujui ulisemalo pole Sana,huku Kenya tuliwachagua magavana wanawake walishinda kucha kutwa kuipora umma kwa manufaa ya Wana wao pamoja na wachumba wao!
Kalb hayawan!
Mine siwezi shabikia wamwaga damu ,kila kukicha ni vita na silaha,naipenda UCHINA,vitu vinavyonisaidia pamoja na NCHI yangu ,kama Barbara,shule,SGR treni,mahospitali n.k
Mungu IBARIKI CHINA pamoja na Marengo wake.
Kenya is a non aligned nation as per our EAC federation,ficha upumbavu wako,we need nuclear power technology and Russians are the go to person .
Again the Chinese wamechange our Shame with infrastructure,that old alliance imetuweka na watu wetu hundreds of years in poverty.Wananchi wetu wanaumia...
Si nyie wenyewe huleta ubabaishaji kila mara kwenye swala la mahindi,mara Jambo dogo,oooh ooh mmezuia mahindi yasiuzwe Kenya,Acha kujitoa ufahamu wewe.
Ni Nani anayeweza vumilia upuzi kama huu uliotukuka kwa biashara zake?
Kalb hayawan
Inamaanisha hamna raia yeyote wa TZ aliyewahi kufanya kazi kwenye Jambi za jeshi la NATO/Marekani Kule Iraq ama Afghanistan?
Kumbe mpo mpo tu,ilhali mamia ya wakenya tena raia (civilian contractors)wapo Kule kwa hisani ya Marekani miaka nenda rudi.
Pumbavu wahed,yasiyokuhusu Wala huna haja ya kushughulika nayo,nyie jeshi lenyu hilo wavunja matofali Kwa vichwa lina ubora upi?
Wajua damu Ya wakenya kiasi gani yamemwaga hayo magaidi yako ya Somalia?
Wewe utakua gaidi tu siyo Bure.
Kalb hayawan.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.