Hebu mwacheni dogo, ni Mola pekee anayetakiwa kukosea , kabla hujafa hujaumbika acheni hizo na huo wote ni wivu kama asingekuwa star wala musingemjadili yuko ,mbali sanaaaaaaaaaaaaaaaaana mwenzenu
mmbangifingi, that was marketing strategy! na it worked out, trust me kuna wengi walihuamasika only kwa kutaka kuona atakavyoshuka stejini kwa helikopta. Its unfortunately hawakutekeleza promise yao! ingawa alishuka nje ya ukumbi kwa helikopta na sio stejini kawa walivyosema before!
Wandugu nilikuwa pale, aisee dogo hashikiki ana mvuto wa ajabu, pamoja kulikuwa na mvua bado watu walijaa hadi hakuna pa kukanyaga tiketi za 7,000 ziliisha mapema zikabaki 10,000 na 15,000 na bado watu walinunua, big up Diamond
who cares, let him choose whoever he likes to fill the room. Kwa hiyo anarudisha wale wote waliokosa nafasi kwa namna moja au nyingine, time will tell......YETU MACHO
Nimekusoma sisimizi, unenenayo ni sawa kabisa basi nilisoma siku moja gazeti la Mwanahalisi liliandika "MAFIA NI YANGU SI YA KIMBAU-BUJI" mpaka leo najiuliza hivi huyu mbunge ni mzima au? wapi anapata nguvu ya kujinadi na kujitapa kuwa Mafia ni yake? si yeye tu kuna akina Buji wengi. huo ni...
Hebu jamani tuacheni mawazo potofu na kuwa gender sensitive kha! eti ohh mwanaume akila cone, kuna shida gani? tatizo munawaza madudu ya ajabu ndo maana kila jambo munarefer huko mie mume wangu anakula cone kama kawa na wala sijafikiria na katu sitafikiria upuuzi huo, TUBADILIKE
mbona nilisikia amesharudi jukwaani kwa mbwembwe zote, kuna wakati alikuwa anaumwa miguu nahisi na kwa ajili ya kucheza sana, Mungu amsaidie aendelee kutupa raha tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.