kunamaofisa ndani ya serekali wanachanganya Dini na utendaji wao wa kazi, ndio maan hawataki kuwapatia magazeti ya Annur na Alhuda matangazo yao na hupeleka sadaka zao kwenye msema kweli kwa ktumia migongo ya watz
Tuesday, 21 July 2009 16:39 *Wasema ni haki ya kanisa kuelimisha wananchi wake
*Viongozi wanaopinga wana uelewa finyu wa siasa
*Wanaotimiza wajibu hawaogopi wenzao kuelimishwa
*Lataka dini zote zitoe waraka na kuelimisha waumini
*Mahakama ya Kadhi:Serikali iheshimu Katiba
Na John...
muisla alielimika yupi huyo? acha ujinga sio kama mkiristo wanaopigania ushoga. waislam wote wenye kujua wapi watafika siku ya malipo wanataka mahakama ya kadhi. lkn akina Nyie wanafiki, wapenda starehe, waongo, wajinga na wapumbavu ndio msiotaka mahakama ya kadhi
Nimetembelea miji mingi asia, moja ya nchi niliokaa ni India, ukipiga simu kutoka India to Tz kw dakika moja ni sawa na Rupia 10(1 us dollar= 48 rupia) kwahiyo dk tano 5 sawa na rupia 50 ambazo ni sawa 1 dollar ambayo ni sawa na 1350 tz shillingi. Jee dakika 5 tz ukipiga kwa kutumia hawa wezi...
HIVI SASA KINGUNGE AMEANDAMWA ,matusi yote dhidi ya kingunge ni baada ya kutofautiana na waraka wa kanis katoliki. HONGERA KINGUNGE. TUPO PAMOJA KINGUNGE HANA DINI NA SIO MKIRISTO NDIO MAAN KAANIKAKANISA HADHARANI
hata membe yalimkuta kama haya wakati wa hoja ya oic
kutokana na mkataba kati ya makanisa na gov ndio maana wanavyanzo vingi. missada mingi kutoka Ulaya kwa ajili ya makanisa ndio chanzo, Ubalozi wa Vertican pia, waislam huewekewa vikwazo. sasa ikiwa mtoto mmoja unamsomesha ulaya na mwengine usimpe eLimu halafu akiwa mkubwa umsimange nani mkosa?
nadhani wakati wa mh nyerere tulifumbwa macho ndio maana wengi hatuuzungumzii ufisadi wake. tulikula dona chungu hapa kutokana na vita visivyomaana . hata mh nyerere anaglikuwa kiongozi na na haya yote ya ufisadi yanafanyika basi bado tungalkuwa gizani, tusanglisema wala kunena.
tumwache...
Wengi kati watz wanaoishi nje hutegemea net kuapata habari za magazeti. ukifungua www.freemedia.co.tz/daima ukiwa nje ya tz huapti connection. au tz daima imemezwa na mafisadi? inatoa habari local tu au ndio inaanza kufa?
Hivi karibuni mh Lipumba alisema "
Hivi sasa CUF haipambani na chama tawala pekee bali hata chama kimoja cha upinzani Chadema hivi sasa kinajikusanyia wimbi wa wanachama na hata kuwa ni chama kinachopambana kwa karibu na CCM katika chaguzi. Hilo limejidhihirisha katika uchaguzi wa Tarime...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.