Ile purukushani ndo iliyofanya J.J KAAYA aondolewe Minaki na kumpa fursa Mr.Chungu kuwa head of the School,na hakika Mr.chungu aliifanya Minaki kuwa ya maziwa na asali,hongera sanaaa kwake brother CHUNGU,he is a good leader kwa kweli.
NAKUMBUKA FFU WALIPOTIA TIMU MINAKI KILA MTU ALITAFUTA PA...
Mahusiano mengi kwa sasa ni mwiba aisee,yalinipata magumu katika mahusiano miaka kadhaa iliyopita,nikaja kumwaga nyongo humu,lakini kwa namna nlivyokuwa affected nilishindwa kumalizia kuisimulia,pole sana mkuu
Kama kuna vitu complex ni hizi issue za mahusiano,usi-judge kijuu juu hivyo hata kidogo,kuna jamaa yangu mmoja alifunga ndoa tukiwa masomoni mwaka wa tatu,(chuo),baada ya hapo mke alipata kazi Mbeya wakati mume alipata kazi Dodoma,baada ya miaka miwili kupita mke aliamua kupigana ili asogee...
Nakumbuka enzi zetu ukienda kwa watu unajitahidi kwa nguvu zote kuwa furahisha wenyeji wako,mara asubuhi mapemaa umechukua kijembe unatengeneza bustani,mara unamwagilia mboga mboga na maua,hata kama kuna msaidizi wa kazi za nyumbani hauachi kusaidia saidia shughuli za usafi,basi ukitazama sura...
No,no,nooo!!!Evelyn salt hapo anasema,mtu anakuja kwako hafanyi kazi yoyote,anakula then anaingia zake fb akisubiri next meal,akasema hilo hata yeye hakubaliani nalo,na mimi nimeongezea tu kuwa unakuta mtu mwenyewe pamoja na kutojishughulisha kwa chochote anapiga menyu,na principle ya wanaokula...
Well said Evelyn salt,lakini kuna watu ambao hata ukinuna vipi,hawaondoki,na wanapata milo yote kamili bila kusema ahsante,kwa sababu tu wewe ni ndugu yake wa damu na kumfukuza ni ngumu kweli kweli!!!
Hahahaaaaa,mkuu unaniogopesha sasa,magonjwa ya wazee tena!!!!nasikia huku ukiweka 2000 tu unavuna mpaka milioni 20,ni faida murua kabisa isiyo kifani!huwa nasikia waswahili wanasema woga wako ndiyo umasikini wako,lakini waswahili haohao wanasemaga kunguru mwoga huishi miaka mingi,sasa kipi bora...
Kuna jamaa yangu anamalizia mjengo wake kwa shughuli hii tu,weekend iliyopita kajizolea milioni 8 kanunua bati za msauzi za Milioni 4,mjengo unapendeza ile mbaya,lazima nainze kwa kasi ya ajabu,mpaka niwe kama yeye!!!kamshahara hakatoshi kufanya mambo makubwa inabidi niingie kwenye haka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.