mimi nadhani mtu una-adapt kutokana na mazingira..wakati nipo chuo niliishi na wakristo watupu na walikua wanapiga kwaya na mengine mengi but niliwaelewa kwa sababu wao ni utamaduni wao lakini mimi hata kuweka quran au kaswida nilikua siweki maana niliona kama nitawakwaza kwa vile wapo wengi...
mkuu nakujibu kiupole kama utanielewa..mimi ni mzanzibar na nimesoma zanzibar kuanzia std1 hadi form four kiukweli serikali ya zanzibar inaitambua dini ya kiisalamu na hakuna wa kuibadilisha hilo ndio maana hata shuleni tunasoma dua na qur-ani wakati wa asbh na somo la dini ya kiislamu lipo...
computer yangu sony vaio core i3, ram 3gb,hdd 320 e series vpceb44en inapata heat sana mpaka naogopa naombeni kujua tatizo itakua nn maana feni linafanya kazi ila naona kama halisaidii kitu
hivi wakuu ile competition from other applicants pale unapojaza course inasema ukweli?mbona mimi kila siku wapo wale wale tu hawabadiliki,wamebadilika mara moja tena inafika wiki 3 nyuma,kwa ambao wamekwisha kufanya maombi wanisaidie
zote ni nzuri ila kwa mtazamo wangu soma geomatics maana hio course ina ajira nyingi sana na mpaka leo bado kuna uhaba wa masurveyor nchini na ndio ukaona hata ukiwa na diploma ya geomatics huwazi kusoma degree maana kuna kazi kibao za kufanya mtaani,
sijamtisha ila ukweli usemwe ada ni kubwa ukicompare na udom,ardh au udsm kwa IT,na pale kupata hostel ni shida pia labda ukapange kigamboni,na elimu bora ya IT naona usiingize IfM labda kidogo kwa business..so ada ya 1.7M ya IT au comp science utasema ni nafuu..??na niambie IFM kuna chakula cha...
nimewajua kwa sababu nina interaction nao,na nawajua physically sio kuhadithiwa,lusekelo amenifundisha wakti nipo advance,salome na tumaini nimejuana nao nao kwenye mishe za maisha,maliza kwanza huko sua uliko ndio uje mtaani utajuana na watu wengi tu wenye akili kama za kwako..maana ukiwa na...
kijana sikushauri kwenda hicho chuo,maisha yake ni gharama sana,kama unataka IT angalia ardhi wanayo au hata university of dodoma na hata udsm siku hz wanaingia na pass za kawaida tu hakuna competition
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.