Nipo mpendwa nashukuru kwa kinimiss,nilikuwa na matatizo ya ndoa tumeachana na mume sasa hivi naishi na mwanamke mwenzangu hamna tena kelele wala bugudha.Wanaume ni ugonjwa wa moyo sitaki tena.
Jamani hapa tuwe objective kidogo ni kweli kulikuwa na mapungufu kidogo kwenye uchaguzi wetu lakini sio kiasi cha kubadili matokeo,tafauti kati ya asilimia 27 na asilimia 61 ni kubwa sana.Tusiwe wepesi wa kukubali kuwa wizi mkubwa ulitokea bila ushahidi wowote na ni zaidi ya mwezi na nusu tangu...
Tumia lugha ya kiungwana kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake bila bugudha.
Yeye ndio alietakiwa kuomba msamaha.Umebwatuka kwani mbwa ?
Bila ustaarabu mijadala hainogi.
Anaogopa nuclear physist akikaa karibu pale Ikulu ataona mapungufu mengi kwahiyo anamlengesha huko.Kikwete na bachelor yake yakuungaunga atamwelekezaje kazi huyu msomi aliebobea ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.