Search results

  1. H

    Kamati ya Mwakyembe si ilitoa ushauri Hosea afukuzwe kazi? Kulikoni?

    mimi nadhani haya maoni yanayotolewa na watu wengi kuhusu HOSEA ule ujuaji tu wa watu ambao maranyingi wao huwa wanangojea mtu fulani akosee ndo wapate la kuongea maana ukweli hapo uko wazi kabisa ....pole kaka HOSEA lakini komaa tu na hawa wabongo maana wana njaa hao....!
  2. H

    Kitabu cha kumnunulia Kikwete ni: "Dead Aid" by Dambisa Moyo

    mi nadhani tumnunulie kitabu tumnunulia biblia takatifu pamoja na quran tukufu nadhani mjomba akivisoma mara kwa mara ataweza kupata huruma na mateso wayapatayo watanzania hasa wale wa kule north mara
  3. H

    Kitabu cha kumnunulia Kikwete ni: "Dead Aid" by Dambisa Moyo

    mi nadhani tumnunulie kitabu tumnunulia biblia takatifu pamoja na quran tukufu nadhani mjomba akivisoma mara kwa mara ataweza kupata huruma na mateso wayapatayo watanzania hasa wale wa kule north mara
Back
Top Bottom