Pole sana mkuu. I know what you feel. Ni kama ilivyonitokea mimi. Mpaka muda haijawahi tokea hata siku moja sikumuaza mama yangu. Naona kama ndoto. R.I.P mama yangu kipenzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kukaa makambi ya jeshi haitoshi kutueleza haya. Umetaja vyeo vyote mbona hujamtaja army sergeant major? Au Sameja wa Jeshi? Pia vikosini wapo masameja wa vikosi, na kamandi mbalimbali? Pia kuna ma RSM kwa kila kikosi. Siwezi eleza mengi silijui jeshi kama wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu naomba kujua mamlaka ya Afisa mtendaji kata na Afisa Tarafa maana hawa watu wana nguvu sana kwenye maeneo yao kuna sehemu unakuta mtu anakubali kupelekwa polisi lakini sio kwa Afisa mtendaji kata au Afisa Tatafa.
Wapo wanawake waliowakataa wanaume mara ya kwanza na kuwakataa lakini badae mwanaume uyo anaoa yuleyule aliyekuwa anamkataa... usisahau mwanamke anajifunza kupenda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.