Mimi ni mwanaume, 44 yrs Nina watoto wawili
Nimejiajiri kwa shughuli zangu binafsi hapa Dsm
Dini yangu ni Mkristo ,
Mwanamke anaehitajika,
Mkristo wa dhehebu lolote , umri, elimu na kabila so kigezo
Cha msingi awe mcha Mungu, mwenye upendo na mchapa kazi ,
Kwa kufahamiana zaidi karibu PM
Hebu tutolee upunguani wako hapa, umeenda Nairobi ukitegemea utapewa chakula cha bure kama ulivyozoea kugongea beer mitaani? Naamini kabisa ulikuwa unaishi River Road.
Watanzania tuepukane na hizi kasumba za wivu wa kitoto, zimwi tunaishi nalo humu CCM
Tatizo Watanzania tumejawa chuki na wivu, mnaposema Wakenya ni wakabila mnasahau kwamba na Watanzania ni mapoyoyo tuluotawaliwa na mfumo wa chama kimoja had I Leo, Umasikini umekuwa sofa yet kuu
Ukiangalia majirani zetu katika kumpokea Obama media zote zimeungana kuonyesha uzalendo wao na...
Ushauri wangu kwa wana JF tujitahidi kusoma na kuelewa maada kabla ya kukurupuka na kutoa kejeli, ina hitaji weledi wa ziada kusoma na kuelewa maudhui ya maandiko ya mwanazuoni kama kitila mkumbo
Seif Sharifu Hamad na viongozi wengine (CUF) waliopo katika Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar, wanatakiwa kuwaunga mkono wana UKAWA kwa kujitoa katika hiyo serikali, Maana CUF na Sharifu ndio wameshambuliwa zaidi na LUKUVI kuwa ni UAMSHO.
Kwa sasa Sharif aache tabia yake ya kuchochea mambo...
Hamna chochote kilichobuniwa hapo, Engine na chasis vyote ni mchina, hivi ni welder gani atashindwa kutengeza hio body? Hebu angalia humo ndani, mabati matupu hata huyo mgonjwa anaweza pata magonjwa mapya, miaka 50 baada ya uhuru hatutakiwi kuwapandisha mama zetu , wake zetu hasa waliopo...
Kinachosikitisha kuhusu huu mradi ni suala la Ajira na vitendea kazi, Last week nilikua pale CPTDC Masaki wafanyakazi wote ni wachina isipokuwa madereva tu, ambao nao wanalalamika wanafanyishwa kazi bila kuzingatia mida ya kazi na malipo yao vi viduchu.
Nafikiri Serikali zetu ziwe makini kwenye...
Inasikitisha Sana, Mtu kama Mwigulu ama Mkamia amefanya nini hasa cha maana kwa Nchi ama yeye binafsi kinachompa sifa ya kuteuliwa Unaibu waziri,
Mh. Mwigulu zaidi ya kufanya BOT mwaka 2006 hadi 2010 (tunaongelea uzoefu wa miaka minne) kama Economist 1 zaidi ya hapo ni siasa tu, ataleta...
Inahitaji Weledi wa hali ya juu kumuelewa Nguli Kitila Mkumbo, Pale tutakapoacha kushabikia Viongozi na badala yake kupenda CHAMA, tutaweza kuchambua hoja za msingi na kasoro zilizopo katika uongozi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.