Inasikitisha sana wadau.
we need to do something zaidi ya kulaumiana.
ushauri,wana jamii tuandae kongamano la waliopita au waliopo usdm tutafakari nini cha kuwashauri wana magamba jinsi ya kuokoa taaluma yetu.
Huyo kijana yuko hapa mjini,nilimuona jumapili amekaa pale kwenye magogo ya mnazi ,samaki samaki,mlimani city.kweli kazi yake tinai miss.mwenye habari zaidi atuhabarishe jamani.
Hao walie tu.dhama za kuhodhi zimeshakwisha.Cha kufanya wapambane sokono kwa ubora wa bidhaa zao na huduma nyingine.wasipo kuwa makini ,watakwama ,kwa sabau wa Tanaznia wasasa ni waelewa,hawapendi kupelekw pelekwa.Tutaisimamia serengeti wasionewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.